We chama,
Hapa tunazungumzia habari ya Dr.Ulimboka na Usalama wake kwa sasa baada ya kurejea nchini toka Sauz kwenye matibabu.Sasa wewe unatuletea habari ya intelijensia ya CHADEMA, kuna uhusiano gani????Watu walio na chuki na CHADEMA ambao ni kutoka CCM utawajua kwa kauli zao. Hii inaonyesha tu kwamba wewe chama ni mtu wa chama cha magamba yaani CCM!
Nakupa pole sana mwanakwetu!
Mimi ni CCM hilo sina shaka nalo, kwani Chadema issue ya Dr. Ulimboka si imeshakuwa yao au hilo pia nalo hulijui?
Chama
Gongo la mboto DSM