Akiongea kutaja watu atakuwa ana ji contradict maana ameshatuambia alifungwa macho hakuona kilichotokea.
Na wewe vipi? Wakati anaongea na yule Abeid afisa wa IKULU pale viwanja vya leaders club alikuwa amefungwa macho?
Halafu pia ukikiliza youtube, kuna wakati akiwa katika jumba walilokuwa wanamtesa alichukua gongo akaanza kupambana nao watesaji wake.
Hii imeshakula kwa JK na Kova wake AIBU YAO, AIBU YAKE.