JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Siku 40 je wakikuulimboka tena? Mwenzio mwakyembe alibakisha ukurasa mmoja wa report ya EL yakamkuta yaliyo mkuta na wewe unarudia makosa Yale Yale? Ungesema yote pale airport kabla hujaenda home unapotoa 40 days unajijengea mazingira ya kununulika au? Ngoja tuone Kama hujawa bubu fasta au useme ulinukuliwa vibaya chapaa ni soo we will see