LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Hakukuwa na haja ya kuanzisha uzi kwa swala dogo kama hilo, bila shaka ukisoma maantiki ya uzi wangu utaona sikuwa eneo la tukio bali nilipewa taarifa tu,
Na kama ijulikanavyo kimang'amuzi, taarifa ya kupewa hubadilika kadri inavyosafiri umbali/idadi ya watu!
Mazingira ya safari ya matibabu ya Dr Ulimboka nayo yalichangia usiri wa wapi anakwenda kutibiwa, maana madokezo ya serikali yalikuwa India huku madaktari wakiwa na siri yao ya Afrika kusini!
Nilipopewa taarifa na chanzo changu kilinieleza kuwa ni India!
Nadhani mapaka hapo umenielewa ndugu, hivyo nawaomba mods iondoeni hii thread haina mafaa kwa nchi,jf na wanajf kwa ujumla!
Yericko Nyerere!
Ninakukubali katika thread zako & post zako Kamanda wetu!
Nami nimeisoma vizuri sana kabla ya kugandisha uzi huu Kamanda wangu!
Na hata mwishoni mwa thread nimependa sana usielewe tofauti Kamanda wangu kwn ni sehemu tu ya marekebisho yetu jukwaani!
Hata Mi mwenyewe ninaelewa haupendi pale unapofungu thread halafu member wa kurekebishwa ikawa ni wewe mwenyewe.
Pole sana Kamanda wetu na usielewe vingine kwani tunajenga pamoja.
Na hilo ktk aya ya mwisho la kumtaka Mods waiondoshe uzi huu Mi siiafiki maana wakati mwingine utakuwa makini sana kufuatilia yaliyojiri na hata kuedit ikiwezekana Kamanda wetu!
Pamoja sana!
Uwe na wakati mzuri!