pgasper
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 311
- 70
Serikali kupanga njama na kuchukua hatua za kumuua Ulimboka ni Uhaini na ujangili na dalili ya serikali dhaifu na cowardKuhusiaha serikali na tukio la ulimboka ni utovu wa nidhamu.
Serikali kupanga njama na kuchukua hatua za kumuua Ulimboka ni Uhaini na ujangili na dalili ya serikali dhaifu na cowardKuhusiaha serikali na tukio la ulimboka ni utovu wa nidhamu.
Hivi kwa nini kila mtu na kaugonjwa kake lazima apelekwe India? Hawa madokta waliogoma wameshindwa kweli kumsaidia mwenzao? na kama wameshindwa kumtibu mtu aliyejeruhiwa na kipigo, kuna haki gani kwao kugoma kama matatizo kama hayo tu lazima watu wapelekwe nje ya nchi. Ni wakati sasa sisi wananchi tuanze kuuliza hawa madokta wetu wanatibu nini sasa kama kila mtu mwenye kauwezo kidogo tu, anaenda India. Tuliwasomesha ili watusaidie na kama wako kwenye mgomo sasa ina maana hawako busy ya vile, basi wamtibu mwenzao kuonyesha uwezo wao na ili kuhalalisha waongezewe posho, kwa nini apelekwe nje?
Hivi kwa nini kila mtu na kaugonjwa kake lazima apelekwe India? Hawa madokta waliogoma wameshindwa kweli kumsaidia mwenzao? na kama wameshindwa kumtibu mtu aliyejeruhiwa na kipigo, kuna haki gani kwao kugoma kama matatizo kama hayo tu lazima watu wapelekwe nje ya nchi. Ni wakati sasa sisi wananchi tuanze kuuliza hawa madokta wetu wanatibu nini sasa kama kila mtu mwenye kauwezo kidogo tu, anaenda India. Tuliwasomesha ili watusaidie na kama wako kwenye mgomo sasa ina maana hawako busy ya vile, basi wamtibu mwenzao kuonyesha uwezo wao na ili kuhalalisha waongezewe posho, kwa nini apelekwe nje?
Moja ya madai yao makuu ni mazingira mabovu, vifaa duni nk, sasa ukisema wamtibu kwa hali aliyonayo haiwezekani, kuna vipimo hapa tz havipo mpaka nje ya nchi
Kuhusiaha serikali na tukio la ulimboka ni utovu wa nidhamu.
So ni South Africa au India Yericko Nyerere na LiverpoolFC ?
Huna nidhamu kbs. Hv unajua maana ya kudai haki? Mgomo wa madaktari unahusianaje na Chadema kama si prejudice zako tu! Waza km aliyeenda shule bhana.