SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
hospitali hazina vitendea kazi ulitaka wamtibu kwa kutumia masaburi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rejea post mbili hapo juu.
Madokta hawajashindwa.
Wauaji hawajakata tamaa.
Tunamuombe apone ..ili aje atoe ushuhuda ni jinsi gani kifo kilivyo..mana wenyewe wana ona raha sisi ndugu zetu kufa kwa migomo yao isiyo kuwa na tija kwetu wananchi, zaidi ya faida yao ya fedha na siasa zao za chadema .
Tutajua usalama wa huko kama Ulimboka atarudi salama.Huko waliko mpeleka ni salama?
Wewe unaamini kila unaloliona humu JF? Unajua mirembe pia watu wanayo access ya JF.Hofu yangu, baada ya Dr. Ulimboka kupigwa, kulikuwa na uzi uliwekwa hapa jukwaani kuwa mmojawapo wa waliohusika katika kumtesa, alikuwa ni jamaa wa TISS na mmojawao alitoroshwa kwenda Afrika Kusini ambapo atapangiwa kazi maalum. Sasa leo Dr. Ulimboka anapelekwa huko tena si ndo wanarahisisha namna ya kummaliza haraka. Kwani aliyependekeza kuwa Dr. Ulimboka apelekwe SA ni nani? serikali au madaktari wenyewe, hapo sina ujuzi wowote. Lakini ni hofu yangu tuu.