Taarifa zilizonifikia hivi punde kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere Dar, nikuwa kiongozi wa madaktari aliyetekwa na kujeruhiwa na watu wanaohisiwa kwa 99.5% kwa ni serikali (TISS) nikuwa anapelekwa nje ya nchi kwa matababu,
Bado sijafanikiwa kujua anaelekwa nchi gani!