Nilikuwa napita mitaani nikaona kijitabu kina Title :- Dr. Slaa unayajua haya? Pia kimechorwa picha ya Chopa. Kitabu kilikuwa kinauzwa na wauza magazeti.
Ndani ya kitabu kuna propaganda zilizoandikwa kuhusu Marehemu Chacha Wangwe, Ruzuku ya chama, Ukabila, matumizi ya chopa, Bilicanas na mengineyo.
Naomba taarifa zaidi.
Ndani ya kitabu kuna propaganda zilizoandikwa kuhusu Marehemu Chacha Wangwe, Ruzuku ya chama, Ukabila, matumizi ya chopa, Bilicanas na mengineyo.
Naomba taarifa zaidi.