Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Sometimes watu wasipende kujipatia umaarufu kwa vitu vidogo. Siku zote alikuwa wapi asiyaseme haya? Mbona miaka yote ameshiriki sherehe za muungano? Huyu mzee naona anazeeka vibaya. Ni kiherehere gani kilimpeleka Uzini kama hautambui Muungano.
Dr Slaa kwa hili inabidi awaombe radhi viongozi wote wa CDM wanaotokea Visiwani.
Dr Slaa kwa hili inabidi awaombe radhi viongozi wote wa CDM wanaotokea Visiwani.