Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,903
- 32,312
Slaa, yaani leo ndio unaomba hati ya muungano umekaa bungeni miaka mingi hata siku moja ujaomba hati.
Halafu nakushangaa utaki muungano wakati unagombea urais mgombea mwenza wako alitoka Zanzibar kupitia huu muungano.
Kwa nini mnakaa na mbunge wa Zanzibar Raya Ibrahimu ambae katokana na huu muungano.
Na wewe si ndio ulituambia mnakubalika Uzini sijui ulikwenda Zanzibar kufanyaje wakati huu muungano hautambui.
Halafu nakushangaa utaki muungano wakati unagombea urais mgombea mwenza wako alitoka Zanzibar kupitia huu muungano.
Kwa nini mnakaa na mbunge wa Zanzibar Raya Ibrahimu ambae katokana na huu muungano.
Na wewe si ndio ulituambia mnakubalika Uzini sijui ulikwenda Zanzibar kufanyaje wakati huu muungano hautambui.