Dr Slaa: Nionyesheni hati ya muungano ili nami niutambue muungano!

Slaa, yaani leo ndio unaomba hati ya muungano umekaa bungeni miaka mingi hata siku moja ujaomba hati.

Halafu nakushangaa utaki muungano wakati unagombea urais mgombea mwenza wako alitoka Zanzibar kupitia huu muungano.

Kwa nini mnakaa na mbunge wa Zanzibar Raya Ibrahimu ambae katokana na huu muungano.

Na wewe si ndio ulituambia mnakubalika Uzini sijui ulikwenda Zanzibar kufanyaje wakati huu muungano hautambui.
 
si ajabu hata kikwete hajawahi kuiona hati hiyo...kweli uongozi kazi kubwa kikwete ulikimbilia ikulu haya sasa tunaiomba hati ya muungano na hao mawaziri wako masele na Tzeba ni hovyo angalau huyo januari na hamisi....

hajawahi kuiona wala hafikirii kuiona wala kuidai
 
Slaa, yaani leo ndio unaomba hati ya muungano umekaa bungeni miaka mingi hata siku moja ujaomba hati.

Halafu nakushangaa utaki muungano wakati unagombea urais mgombea mwenza wako alitoka Zanzibar kupitia huu muungano.

Kwa nini mnakaa na mbunge wa Zanzibar Raya Ibrahimu ambae katokana na huu muungano.

Na wewe si ndio ulituambia mnakubalika Uzini.
Kama kuna mtu simuamini kama kiongozi ni Dr. Slaa! Why would you need workings of the documents, data while you already have information. What I mean katiba ya serikali ya muungano ina-nullifying existence ya kitu chochote before! Meaning the fact katiba ya sasa ya 1977 inakubalika kwamba ni katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na fact kwamba UN inajua hivyo... You do not need to know any other documents prior to that! And if you need it, then it is just history or making baraza cheers.
 
Sometimes watu wasipende kujipatia umaarufu kwa vitu vidogo. Siku zote alikuwa wapi asiyaseme haya? Mbona miaka yote ameshiriki sherehe za muungano? Huyu mzee naona anazeeka vibaya. Ni kiherehere gani kilimpeleka Uzini kama hautambui Muungano.

Dr Slaa kwa hili inabidi awaombe radhi viongozi wote wa CDM wanaotokea Visiwani.
Tatizo lako ni kwamba kula yako na ya watoto wako inategemea ccm.Ulishawahi kumwona Dr Slaa kahudhuria sherehe hizo?Uzee wa kikwete una manufaa yoyote kwetu?Mbona huyo ndo anazeeka vibaya.
 
Slaa, yaani leo ndio unaomba hati ya muungano umekaa bungeni miaka mingi hata siku moja ujaomba hati.

Halafu nakushangaa utaki muungano wakati unagombea urais mgombea mwenza wako alitoka Zanzibar kupitia huu muungano.

Kwa nini mnakaa na mbunge wa Zanzibar Raya Ibrahimu ambae katokana na huu muungano.

Na wewe si ndio ulituambia mnakubalika Uzini sijui ulikwenda Zanzibar kufanyaje wakati huu muungano hautambui.

mkuu nakuaminia siku hizi unatumia ubongo kidogo kufikiri, ni wapi Dr.Slaa alisema hataki Muungano?
tatizo la wazenji wengi ni wanafiki, mtanganyika akisema Muungano una kasoro wao wanasema watanganyika wabaguzi, nakumbuka Tundu Lisu alionyesha udhaifu mkubwa kwenye sheria za Muungano bungeni, ngoja wazenji waruke mbizi kumkashfu Lissu na CDM, wakiwa wenyewe wanazun
 
mkuu nakuaminia siku hizi unatumia ubongo kidogo kufikiri, ni wapi Dr.Slaa alisema hataki Muungano?
tatizo la wazenji wengi ni wanafiki, mtanganyika akisema Muungano una kasoro wao wanasema watanganyika wabaguzi, nakumbuka Tundu Lisu alionyesha udhaifu mkubwa kwenye sheria za Muungano bungeni, ngoja wazenji waruke mbizi kumkashfu Lissu na CDM, wakiwa wenyewe wanazun

Mkuu labda uniambie wewe kwa nini Chadema wamesusia sherehe za muungano?
 
Kama kuna mtu simuamini kama kiongozi ni Dr. Slaa! Why would you need workings of the documents, data while you already have information. What I mean katiba ya serikali ya muungano ina-nullifying existence ya kitu chochote before! Meaning the fact katiba ya sasa ya 1977 inakubalika kwamba ni katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na fact kwamba UN inajua hivyo... You do not need to know any other documents prior to that! And if you need it, then it is just history or making baraza cheers.
All in all people need to know what is in the document, walikubaliana mambo mangapi je mafuta yamo we have been told mambo waliyokubaliana yalikuwa 11 tu lakini yakaongezwa kinyemela, is it true? if not tell us by putting the document open.
 
Kama kuna mtu simuamini kama kiongozi ni Dr. Slaa! Why would you need workings of the documents, data while you already have information. What I mean katiba ya serikali ya muungano ina-nullifying existence ya kitu chochote before! Meaning the fact katiba ya sasa ya 1977 inakubalika kwamba ni katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na fact kwamba UN inajua hivyo... You do not need to know any other documents prior to that! And if you need it, then it is just history or making baraza cheers.
Hakuna mtu nisiyemwamini kama Kikwete kwa ahadi za kuchekacheka na kutokujua anachokiongea.Aliwadanganya wananchi wa Ruvuma kuwaunganishia umeme wa mkoa huu kwenye gridi ya taifa lakini hadi ana maliza kipindi cha kwanza cha utawala wake hata nguzo kuchomekwa barabarani ni kasheshe kama ID yako.Anatumia umaskini wa wananchi wa Ruvuma kuwagawia kanga na fulana na kuwasahaulisha.Hadi leo kimya.
 
Slaa, yaani leo ndio unaomba hati ya muungano umekaa bungeni miaka mingi hata siku moja ujaomba hati.

Halafu nakushangaa utaki muungano wakati unagombea urais mgombea mwenza wako alitoka Zanzibar kupitia huu muungano.

Kwa nini mnakaa na mbunge wa Zanzibar Raya Ibrahimu ambae katokana na huu muungano.

Na wewe si ndio ulituambia mnakubalika Uzini sijui ulikwenda Zanzibar kufanyaje wakati huu muungano hautambui.

Muungano huu ni kama batili kwani unaogopwa sana kuzungumziwa.Hapa wenye akili wana tambua kuwa kuna tatizo.Wajinga wengi bado wana amini kumtukuza Nyerere na Karume kama mababa wa Taifa hili.Ikiwa muungano huu ni halali nieleze wapi Tanganyika ilikudfa wakati Zanzibar bado ni hai?Unapozungumzia serikali ya muungano unajumuisha na Zanzibar.Hapa tunatambua kuna uhuni.Naungana na wanzibari wachache wenye akili ambao wanadai waoneshwe serikali ya Tanganyika ilikopotelea.Mwenye majibu alete hapa kutuambia wapi Tanganyika ilikufia na mazishi yalifanyika wapi?
 
Slaa, yaani leo ndio unaomba hati ya muungano umekaa bungeni miaka mingi hata siku moja ujaomba hati.

Halafu nakushangaa utaki muungano wakati unagombea urais mgombea mwenza wako alitoka Zanzibar kupitia huu muungano.

Kwa nini mnakaa na mbunge wa Zanzibar Raya Ibrahimu ambae katokana na huu muungano.

Na wewe si ndio ulituambia mnakubalika Uzini sijui ulikwenda Zanzibar kufanyaje wakati huu muungano hautambui.
Tatizo lenu mnarukia kupinga hata bila kuelewa Slaa alikuwa maana gani, najua hata angesema kinyume chake kuwa hakuna haja ya kuona hati bado mngeendelea kupinga tu. Sasa mambo ya mgombea mwenza na ya Uzini mnayoingiza yanahusiana nini na kuonyeshwa document ya muungano. Kwani document aliyoiomba ndiyo itaonyesha mgombea mwenza atoke wapi? yeye hakuomba katiba kaomba hati.

Kitu cha msingi hapa ambacho hata wazanzibari wengi wanakitaka ambacho ni haki yao ni kujua huo mkataba ulihusu mambo gani, basi kama ni siri unahusu viongozi tuambiwe huo ni muungano wa viongozi na sio wa wananchi ili wenye nchi wajue moja.
 
All in all people need to know what is in the document, walikubaliana mambo mangapi je mafuta yamo we have been told mambo waliyokubaliana yalikuwa 11 tu lakini yakaongezwa kinyemela, is it true? if not tell us by putting the document open.

Vipi Gesi, Dhahabu, Almasi, Tanzanite, Uranium...Wazanzibar wanapata mgao sawa?
 
Kuchanganywa kwa udongo wa Tanzania Bara na Zanzibar ni kama kufanya tambiko. Na kwa wale wanaojua mila, ukishaingia makubaliano kwa njia ya tambiko ni lazima uishi ndani ya makubaliano hayo. Ukienda kinyume lazima yakukute... Sikatai kwamba huu muungano una matatizo na sikatai kwamba unaweza kuvunjika...ILA tujiandae tu na athari zake baada ya kuvunjika. Siku zote ukishaingia tambiko na mizimu, ukienda kinyume lazima ujiandae na punishment itakayo kukuta. Anyway, tuombe MUNGU tu huu Muungano uendelee kuwepo na marekebisho ya kero zake yafanyike bila kuuvunja, maaana...
 
Alikwenda Uzini kwa sababu katiba ya Jamhuri ya Muungano inamruhusu.

Hewala Mkuu! Ni kweli kabisa Dr. Slaa hakwenda Uzini (Unguja) kwa sababu Muungano upo; la hasha; bali kwa kuwa Katiba iliyopo inamruhusu kufanya hivyo. Ingemruhusu kusimamisha mgombea hata Uchina angekwenda vile vile sembuse Uzini!
 
Tatizo lenu mnarukia kupinga hata bila kuelewa Slaa alikuwa maana gani, najua hata angesema kinyume chake kuwa hakuna haja ya kuona hati bado mngeendelea kupinga tu. Sasa mambo ya mgombea mwenza na ya Uzini mnayoingiza yanahusiana nini na kuonyeshwa document ya muungano. Kwani document aliyoiomba ndiyo itaonyesha mgombea mwenza atoke wapi? yeye hakuomba katiba kaomba hati.

Kitu cha msingi hapa ambacho hata wazanzibari wengi wanakitaka ambacho ni haki yao ni kujua huo mkataba ulihusu mambo gani, basi kama ni siri unahusu viongozi tuambiwe huo ni muungano wa viongozi na sio wa wananchi ili wenye nchi wajue moja.

Wewe huwezi kwenda kinyume na Slaa hata aseme nini kila anachosema Slaa wewe lazima ukifuate bila hata kuhoji.
 

Hewala Mkuu! Ni kweli kabisa Dr. Slaa hakwenda Uzini (Unguja) kwa sababu Muungano upo; la hasha; bali kwa kuwa Katiba iliyopo inamruhusu kufanya hivyo. Ingemruhusu kusimamisha mgombea hata Uchina angekwenda vile vile sembuse Uzini!

Watanzania kwa unafiki hawajambo hii katiba rais akiifuata mnasema hii katiba mbaya inampa rais madaraka makubwa...hii katiba ikitumika kwenye sehemu ambayo kuna maslahi na Chadema mnaikubali.
 
Vipi Gesi, Dhahabu, Almasi, Tanzanite, Uranium...Wazanzibar wanapata mgao sawa?
Hapa hatuongelei who owns what tunataka kwanza tujenge mazingira ya uwazi vitu vyote viwekwe peupe ndipo tuone tufanyeje, sio kuanza kugawana huku kila mtu hajui alichotaka kugawana.
 
Vipi Gesi, Dhahabu, Almasi, Tanzanite, Uranium...Wazanzibar wanapata mgao sawa?
Ritz hili lingewezekana tu kama tungekuwa tumeunda serikali tatu na kila nchi inachangia asilimia fulani ktk mfuko wa serikali kuu, kwa mfano Bara wanatoza kodi ya asilimia 15 kati ya hizo asilimia 7 ni ya nchi (bara) na asilimi 8 ni ya serikali kuu. Zanzibar nao watatakiwa kuchangia asilimi 8 ya mapato ya kodi ktk serikali kuu lakini wanaweza kutoza kodi pungufu ya asilimia 7 kama bara au zaidi - wapendavyo kulingana na mahesabu yao. Kwa maana kwamba kodi ya nchi (ile asilimia 7) haihusiani na sehemu yoyote ua muungano isipokuwa nchi husika, ila mchango wa Serikali kuu ndio lazima iwe kiwango kimoja.

Sasa inapofikia maswala ya Madini na vitu vingine kila nchi itafaidika na rasilimali zake na ule mchango wa serikali kuu utatazama maswala muhimu ya Kitaifa tu na sio manendeleo ya kila nchi. Zanzibar wakipata mafuta watachangia asilimia 8 tu ya kodi ktk mauzio iwe ndani au nje nyinginezo ni kwa maendeleo yao.
 
Wewe huwezi kwenda kinyume na Slaa hata aseme nini kila anachosema Slaa wewe lazima ukifuate bila hata kuhoji.
Mkuu wangu mimi huwa nina msimamo wangu pekee,kwa mtu mwenye akili suala la Tanganyika sio lazima aambiwe na Slaa, kwa hili la Tanganyika nina msimamo wangu toka miaka ya 70 hata kabla ya Slaa kumjua.
 
All in all people need to know what is in the document, walikubaliana mambo mangapi je mafuta yamo we have been told mambo waliyokubaliana yalikuwa 11 tu lakini yakaongezwa kinyemela, is it true? if not tell us by putting the document open.

Hapa wewe umeongelea Mafuta mie nikiongelea Dhahabu hutaki...
 
Back
Top Bottom