Adolph
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 895
- 346
Ya arumeru tumeshamaliza magamba yanahaha tu wala usitie shaka..ila nafikiri atawahi wakati wa mwishoni mwishoni...kirumba pia ni kwa ajili ya kujenga chama na kuna uchaguzi wa udiwani pia pande hizo...Mkuu Molemo Dr Slaa hatakiwi kuwa Arumeru?mipango ikoje?