Wajaribu kama LYBIA ajahamia Tanzania. Si wanadai wana JESHI na POLISI haya tuone kama wataeweza UMMA. Washenji sana hawa ma Polisi na Jeshi letu. Ndio maana yakusoma skuli ya KATA kweli haasa wengi wao awana Skuli kabisa ukitaka kujua cheki cheti chao. BURE KABISA SERIKALI HII. TUNAWASUBIRI SANA KWA HAMU WAJARIBU. Naona THE HAGUE inanukia BONGOLAND.
This is what i'm talking ABOUT.Usipende kuanzisha mada kishabiki ilihali ushahidi unao, nikupe mifano michache inayowafanya watu wenye akili timamu wasiliamini Jeshi la Polisi japo kuwa wapo kwa mujibu wa Sheria.....
Wakati unaenda mitamboni wapi? wakati unasema umekopy mwanahalisi?
Huu ni uhandishi gani? ndo tatizo kusoma shule za kata
Wakati unaenda mitamboni wapi? wakati unasema umekopy mwanahalisi?
Huu ni uhandishi gani? ndo tatizo kusoma shule za kata
Hii nchi hii!? enhe wakiwakamata watawaambia nini!? kama wamefanya kosa kisheria mahakama si zipo wazi!? lets wait and see!
Naomba mungu tuzichape kidogo tufe wachache icc waje wawachukue akina jee keyi waende wakakae na akina charles taylor
Wakati unaenda mitamboni wapi? wakati unasema umekopy mwanahalisi?
Huu ni uhandishi gani? ndo tatizo kusoma shule za kata
Mkuu JeyKey,
Kwenye redi hapo...Naomba unifafanulie, mwenye tatizo hapa ni nani? Ni wewe au Mikael P. Aweda!...Kama wewe ni mwandishi na msomi makini, utagundua kuwa hiyo para yote, Aweda kainukuu kutoka Mwanahalisi, so hii inamaanisha kuwa, ni mwanahalisi ndo walikuwa wanenda mitamboni...Na kwa kukuthibitishia kuwa siyo maneno ya Aweda ndo maana mwisho ameweka take yake....Sasa nani kasoma shule ya kata! Hebu tuwe makini katika kutupa madogo, chunguza jiridhishe na ndo utupe dongo lako otherwise unawezajikuta maandiko yako yanakufanya uonekane ni mtu asiye makini. Samahani sana kama nitakuwa nimekosea ila nilidhani ni vema nikaweka mambo sawa...Ubarikiwe na Bwana ndugu yangu JeyKey...
Watakamatwa watapewa umaarufu mara dufu wataachiliwa..tumeshawazoea