Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Wakati unaenda mitamboni wapi? wakati unasema umekopy mwanahalisi?
Huu ni uhandishi gani? ndo tatizo kusoma shule za kata
Wewe ndiye usiye elewa . Mangi anasema amewanukuu MWANAHALISI ambao ndio walikuwa wanaenda mitamboni kuchapa gazeti. Kauli yake inaanzia kwenye My take;