Hivi yule Mwenyekiti wa Chama Cha Mabwepande Mr dhaifu kaenda msibani Tabora au Ghana?
Ni kweli Mkuu tokea 1995 bado Msimu wake haujapita labda ni msimu wa miaka 60Ni Chama cha msimu (JK 2010)
Mkuu Matola wapo zaidi ya Ishirini kwa hao ambao wanaoneka kwenye Picha na wamekuja kwa ridhaa yao Kama kingelikuwa kile Chama cha Mabwepande hawachelewi hata kukodi Fuso huko UK kubebea watu wakati hairuhusiwi ili kutimiza operation Jaza Ukumbi
Vip wewe nenda kaulize hilo swali pale ubalozi wa UKHebu nijuze kuna watanzania wangapi UK? Unweza kuwa wa kwanza darasani kwa kupata maksi 30 ni wa kwanza lakini kwenye darasa la wajinga
Chama
Gongo la mboto DSM
Vip wewe nenda kaulize hilo swali pale ubalozi wa UK
Hebu nijuze kuna watanzania wangapi UK? Unweza kuwa wa kwanza darasani kwa kupata maksi 30 ni wa kwanza lakini kwenye darasa la wajinga
Chama
Gongo la mboto DSM
Peoples power...chadema chadema chadema
Sasa hapa mwenye akili finyu nani? Maana katika kijiji chenye watu 2000 ukifanyika mkutano wakahudhuria takriban 1800 wakati mara zote huwa mahudhurio ni 1000 au pungufu hiyo sio historia?Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.
Chama
Gongo la mboto DSM
Kwa nyomi hiyo hapo kilombelo sijui kama kuna mtu alibaki nyumbani, inawezekana hata viongozi wa CCM walikuwepo...Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.
Chama
Gongo la mboto DSM
Kumbe wewe ni Mwigulu Nchemba a.k.a mzee wa totoz?. Kamwe siwezi kukutumia hata mbwa wangu jike. Maana utam-simbachawene bureeee.
Alikuwa kwenye kikao cha bodi.
chadema chadema chadema
Mbona hata mbowe hakuwepo leka dutigite!
Hapa kweli nakuona una nguvu moja tu, nayo ni kuongea pumba ili uendelee kupewa ulaji/madaraka wakati ni dhaifu ndani ya chama dhaifu. Chama dhaifu kimeleta sera dhaifu za madini, ardhi, uwekezaji, ubinafsishaji, mafao ya wafanyakazi, uendeshaji wa bodi mbalimbali, ukusanyaji and utumiaji wa rasilimali n.k. Kote huko na kwingine ni dhaifu tu. Sasa hivi umekaa muda wote kwenye mtandao kuchungulia kila kinachochangiwa na wewe uteme cheche zako. Anyway, nisikulaumu maana yawezekana unatengeneza CV ya kuwa mchangiaji dhaifu namba moja kwenye mitandao ya kijamii. Asante sana.Kama hoja unaye dhaifu wa kiroho Dr. Slaa, CCM nguvu moja tu!
Chama
Gongo la mboto DSM
Mbona ni kama Dr. SLAA alikuwa anawaomba msamaha wananchi hao wa Ifakara kwa kutokana na kifo cha Regia Mtema? CDM nayo inatakiwa kuwaeleza watanzania na hasa wale wa Morogoro na Tarime utata wa vifo vya Rejia Mtema na Chacha Wangwe na aache kujificha kwenye kichaka cha Ulimboka ambaye kutekwa kwake kulitokanana na ubedhuli wake wa kusababisha vifo vya wagonjwa ambao wangeweza kupona endapo wangepata Matibabu. Akawaulize wafiwa wanatamwambia aliyemteka Ulimboka.