OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Ndiyo majibu yenu, hamna sera tena. Nchi haItatawalika kwa majungu, fitina na uzushi kweli? Subiri ZITTO achukue nchi 2015 kama u-chagga utakuwemo tena ndani ya CDM na majungu yenu hayo.
ukiona mtu anazungumzia ukabila kwenye urais anatatizo kwenye elimu aliyopata au hajawahi kutoka kijijini kwao akakutana na watanzania na walimwengu wengine mimi sijali rais mchagga, muha, msukuma, msandawe, mhazabe ninataka raisi atakayeweza kusimamia rasilimali za nchi ipasavyo kutuondolea umaskini huu unaonuka,. kama ni Zitto, well, kama slaa well hata kama ni wewe fine tupate mtu wa kutunasua hapa kwani makabila wanayotoka Nyerere, Mwinyi,Mkapa na Kikwete yana unafuu gani kuliko makabila ambayo hayajawahi kutoa rais?Tatizo sio rais tatizo ni mfumo, ondoa tongotongo za ukabila na udini angalia utaifa kwa upana wake!