Dr. Slaa, Mbowe waweka historia Kilombero!

Sasa hapa mwenye akili finyu nani? Maana katika kijiji chenye watu 2000 ukifanyika mkutano wakahudhuria takriban 1800 wakati mara zote huwa mahudhurio ni 1000 au pungufu hiyo sio historia?

Tafakari chukua hatua.. chama kisikuleweshe wewe.

Mpo wengi sana itabidi Chadema wafunguea darasa kama wanachama wenyewe ndio kama wewe

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Ccm ni janga kwa taifa letu, serikali ya ccm imeanza kuzungusha kuwalipa kwa wakati watu wa sensa, yaani kumbe sio watumishi tu wa uma kumba hata hawa makarani wa sensa! Hii ni serikali corrupt!
 
2014 kila kitongoji/mtaa lazima vijana tujipange kuchukua nafasi hizo ili 2015 tunamalizia tu kuifukia ccm.
 
Huyuma cha chama ni mdudu gani? acha ushabiki wa kipuuzi,cdm hata ujinyonge ni chama cha ukombozi.
chadema juu,majangiri wa ccm chiniii....
maduhu
 
Hawakukaidi isipokuwa walikubali kusitisha kwa makubaliano ili sherehe za nanenane zipite, migomo ya waalimu itatuliwe, na hofu ya CCM kuaibishwa nyakati hizo...hivyo operesheni hiyo ikapata baraka kuanza baada ya mambo hayo matatu...Halafu kwa taarifa tu, hiyo haikuwa amri" halali" bali ilikuwa amri "kandamizi" chini ya mwavuli wa CCM.

Ushahidi huu unapatikana alipoulizwa Msajili wa vyama vya siasa nchini ndg;John Tendwa, kuhusu uhalali wa jeshi la polisi kupiga marufuku mikutano hiyo...majibu yake ni kuwa, polisi wasome alama za nyakati katika katiba inasema nini, na chadema wasome kilichoandikwa humo kila mtu atajua alipaswa kufanya nini.

Mtazamo wangu kuhusu hilo ni kwamba: Msajli wa vyama John Tendwa alimaanisha Polisi hawakusoma alama za nyakati katika "msahafu"huo unaoliongoza taifa hili, jambo ambalo ndio lilisababisha mambo yote "kufikia hapo yalipo".

Ushari wangu kwa polisi:Ni vizuri kama polisi wetu wangesoma sheria kwanza kuliko kuvamia mambo bila kujua nini hatima yake, Pili Serikali iwapatie polisi wote nchini nakala ya katiba, ile kuukuu na hata hii mpya tunayoitarajia wapewe zote kwa kugawiwa...hili liwe la lazima ili waujue ukweli wa mambo

Poleni polisi, hongereni Chadema
 
Mimi hushindwa kumwelewa mtu anayetetea CCM kwa sasa! Hivi haoni matatizo ambayo chama hiki kimetuletea katika nchi hii? Au ni ushabiki tu wa kisiasa ambao kwa kawaida huweka busara pembeni na kutanguliza hisia zaidi? Jamani this is the time for change. CCM mnataka kutuongoza tena mnalipi jipya? Au mnaamini kuwa nyinyi ndo wenye haki miliki ya nchi hii? Sasa imetosha kaeni pembeni.
Hivi yule Mwenyekiti wa Chama Cha Mabwepande Mr dhaifu kaenda msibani Tabora au Ghana?
 
43 Reactions
Reply
Back
Top Bottom