junior2008
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 528
- 42
Kamwe dola haiwezi kuizidi nguvu ya umma na hasa pale inapoingia madarakani kwa kuchakachua na kupata kura millioni 5 wakati wananchi tuko mill 44. Hiyo sio GeniusBrain ni CrapBrain!!!!Wametambua na kutia adabu lakini kama dola ipo na inafanya kazi , kichapo walicho kipata jana si mchezo, mpaka inzi na mbu walikufa