jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
nakubaliana na wewe.....inawezekana CCM wamezusha tu. kwani ikizingatia taarifa hiyo imetolewa kwenye front page ya UHURU. inawezekana magazeti mengine yametarifu suala hili lakini UHURU ndo imebeba Ukrasa wa mbele
yaani mkuu nimeufuatilia huu mjadala kwa umakini sana, kumbe source ni hayo makaratasi ya maandishi (wenyewe wanaita gazeti la uhuru) ah mkuu hapo inabidi unitake radhi kwa kuiteka attention yangu.