rutakolwakolwa
Member
- Sep 7, 2011
- 16
- 2
Tuache Ushabiki wa vyama wanaJF,Mie nampenda Dk lakini kwa hili kakosea wadau.Kama alikuwa hataki kwa sababu za Mbwembwe za TBC1 basi angewambia siji lakini kama alikiri kuwa atakuja na akapotea then its a bad sign.
Wote tunajua wanambania Lakini asifanye usera kuahidi atakuja halafu asiende bora angewakatalia tungekuwa tunajadili uhodari wake kukataa!!
Wote tunajua wanambania Lakini asifanye usera kuahidi atakuja halafu asiende bora angewakatalia tungekuwa tunajadili uhodari wake kukataa!!