Dr. Slaa AMKIMBIA Wilson Mukama katika mjadala?

Nimeona katika gazeti moja la kila siku. dk Slaa amekacha mjadala uliipangwa kufanyika hapa kwa kushirikiana na chombo kimoja kikuu cha habari yaani TBC1 katika kipindi cha JAMBO LEO.
Katika mjadala huo ambao Mukama alipanga hoja za msingi na kutaka kumuonyesha dk slaa kwamba anayozungumza mengi hafanyi utafiti.lkn pia kuzungumzia magaidi waliongizwa na CHADEMA IGUNGA na mengine mengi juu ya CHADEMA
katika hali isiyoyakawaida katika Chama cha chadema. Dk slaa amekacha mjadala huo.
Jee Dk slaa ameanza kuogopa mijadala ya wazi?
What next?
Dk Slaa hawez kukutana na huyo mropokaji...yeye aendelee kukutana na Nape na Magamba wenzie
 
nakupa ushauri siku nyingine mkiandaa kitu kama hiki angalieni kama watu wanaoalikwa wanaenadana.Kwa mfano Mukama type yake ni Mtatiro.Usidhani Mukama kuwa Katibu mkuu basi hadhi yake ni Dr. Slaa.Umekosea sana.Lakini usijali kwani kukosea ndio kujifunza.
Kwa nini hakukataa tangu awali alipopewa mwaliko? Unafikiri Slaa ana mpya gani zaidi ya kumba fisadi kila anachosema fisadi ndio kibwagizo chake.
 
Kuuuuumbe!! source ni uhuru magamba wenyewe. Kama hivyo kwa nini kupoteza muda kuongea pumba??
leteni mjadala mwingine huu hauna maana tena

ndio maana tangu mwanzo niliomba mods kufuta huu upuuzi kwa sababu niliona tangu asubuhi.Laiti habari ile ingeandikwa na magazeti ambayo sio ya udaku tungesema mengine.
 
Kwa nini hakukataa tangu awali alipopewa mwaliko? Unafikiri Slaa ana mpya gani zaidi ya kumba fisadi kila anachosema fisadi ndio kibwagizo chake.

kwa hiyo gazeti la uhuru ndio umeliamini kwa kusema alikubali mwaliko? Kwi kwi kwi kwiiiii.....
 
ndio maana tangu mwanzo niliomba mods kufuta huu upuuzi kwa sababu niliona tangu asubuhi.Laiti habari ile ingeandikwa na magazeti ambayo sio ya udaku tungesema mengine.
Unamaanisha kwamba Uhuru ni gazeti la udaku kwa kuwa wameandika ukweli kuhsu Slaa! Mbona Tanzania Daima wakiandika hata masuala ya kutunga kuhusu CCM watu wanasoma na criticise. Toa hoja za msingi zikikubalika tutakuunga mkono.
 
Unamaanisha kwamba Uhuru ni gazeti la udaku kwa kuwa wameandika ukweli kuhsu Slaa! Mbona Tanzania Daima wakiandika hata masuala ya kutunga kuhusu CCM watu wanasoma na criticise. Toa hoja za msingi zikikubalika tutakuunga mkono.

Ur talking crap and nonsense! Live alone Dr Slaa W
 
Nimeona katika gazeti moja la kila siku. dk Slaa amekacha mjadala uliipangwa kufanyika hapa kwa kushirikiana na chombo kimoja kikuu cha habari yaani TBC1 katika kipindi cha JAMBO LEO.
Katika mjadala huo ambao Mukama alipanga hoja za msingi na kutaka kumuonyesha dk slaa kwamba anayozungumza mengi hafanyi utafiti.lkn pia kuzungumzia magaidi waliongizwa na CHADEMA IGUNGA na mengine mengi juu ya CHADEMA
katika hali isiyoyakawaida katika Chama cha chadema. Dk slaa amekacha mjadala huo.
Jee Dk slaa ameanza kuogopa mijadala ya wazi?
What next?
Inamaana magaidi yameingia Tanzania yakafanya ugaidi na kutoka kinyemela pasipo kukamatwa au ndo siasa za maji ya chooni??? Kuhusu hili kuna kundi flani litaumbuka.
 
Hivi mbona c watanzania tu wajinga kiasi hiki? Mwaka 2010 TBC walianzisha mdahalo wa wagombea ili watu tujue sera lakini CCM wakawa wa kwanza kuingia mitini na kuigharimu ajira ya mkurugenzi wake. Leo eti wanajifanya wanatka mdahahalo. Je hamuoni slaa kanusuru ajira za watu hapo TBC? Hayo ni mawazo yangu
 
TBC ni chombo cha sisiem. Sasa Mukama anamajibu gani ya kumjibu Dr Slaa zaidi ya pagu na paguzi. Dr Slaa kaona hapo ni kupoteza muda wake kwa nini wasiitishe mdahalo na Kikwete au waziri yeyote kwa sababu kilio cha Dr Slaa na watanzania wote ni ufisadi unaitafuna hii Tanzania. Hawa CCM wajanja kweli wanasema ni mdahalo kumbe wanataka ushauri kwa Dr Slaa tumesha washtukia. Dr Slaa umefanya vizuri.
 
Dk. Wilbroad Slaa ameingia mitini licha ya kuthibitisha kushiriki kwenye kipindi cha Jambo kinachorushwa na TBC1 ambacho kililenga kumkutanisha na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama. Wote walithibitisha kushiriki lakini ghafla Dk. Slaa akaingia mitini.

Amkimbie kichwa maji kama huyo?hamuoni hata aibu hebu pelekeni utumbo wenu huo jamba leo,PAMBAFU ZENU.
 
Unamaanisha kwamba Uhuru ni gazeti la udaku kwa kuwa wameandika ukweli kuhsu Slaa! Mbona Tanzania Daima wakiandika hata masuala ya kutunga kuhusu CCM watu wanasoma na criticise. Toa hoja za msingi zikikubalika tutakuunga mkono.

hoja ipi zaidi ya hiyo? SOURCE tu ni sababu tosha ya hoja kuwa disqualified. Mbona TBC wasipeleke hiyo habari kwenye chombo huru kisicho kwenye minyororo ya magamba?
 
Kama alialikwa na alikubali na hakutokea bila kutoa UDHURU, ni kosa amefanya.
Lakini inawezekana kuna sababu ya msingi iliyomfanya asihudhurie, LITAFAHAMIKA tu.
 
Back
Top Bottom