Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
Kuna mtu yeyote ana BIO ya DR Slaa,nataka kumjua huyu mpiganaji maana namsikia tuu!
Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
maana yake "Vita vikienda, pambana hadi East"...lol
on a serious note kilatini changu kinanikimbia but has to do with
Maisha ni zaidi ya kuwa hai... or something like that.
Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
I doubt whether he's "the real Dr Slaa"!
Si umesema SLAA uko naye hapo DODOMA?
Amesemaje?
Samahani kwa kuchelewesha taarifa, nilikuwa ndani ya ukumbi na ndo tumemaliza punde, Kweli ni yeye mwenyewe, Dk Slaa original. Ameniambia kuwa alijireegister zamani lakini akapoteza pasword. Akawa anaacess kama mgeni na ameamua kujiunga upya. Anasema anaizimia sana JF kwa sababu anapata mambo mengi hapa. Kwa hiyo, tuendelee kushirikiana naye, anaweza kutusaidia kupaza sauti kule tusikofika moja kwa moja
Comments ni nyingi zenye sura mbalimbali ila hii imenigusa zaidi.
Asante mkuu - mfano wako ni wa kuigwa.
Ahsante mkuu, tunataka mabadiliko ambayo ni transparent, shirikishi na ya kweli. Na vita kama hii itafanikiwa kama kutakuwa na precise and consulted efforts, hakuna kujaribu ni kufanya kweli coz nchii hii ni yetu wote mpaka tufike huko tunakopenda.
This is fantastic! Uamuzi wa Dr Slaa kuingia hapa umeipeleka JF to the next level. Ahsante sana kwa unyenyekevu na utumishi wako kwa nchi yetu.
habari kubwa hiyo! humu ndani itabidi siku moja tujitambulishe kwa majina yetu halisi, nina uhakika hata Makamba yupo huku JF!! na tena usikute ndio huyu "Antsadism" na propaganda zake za CCM!