Public record kwa mujibu wa nani....?
....kajifunze kwanza nini maana ya BIO ndio ulete vijiswali vyako visivyoeleweka!
Public record kwa mujibu wa nani....?
Mh. Dr. Slaa karibu sana. Nimeguswa na maelezo yako ukimjibu FMES kuwa vyama ni jambo la mwisho kabisa - kwanza ni utaifa. Ina fariji sana kuona hata viongozi wa vyama wanawaza sawa na tusio na vyama. Mimi nami naamini chama kinafuata baada ya nchi na naamini haya ni mawazo ya watanzania walio wengi, isipokuwa watu walio na maslahi na CCM (hii haiwahusu wanachama wa kawaida wa CCM).
Pamoja na kwamba vyama si muhimu kuliko utaifa wetu, itabidi tusijidanganye kwamba na viongozi wa CCM wanawaza hivyo. Kwa hiyo ni lazina katika huu mkakati wa kujenga nchi yetu tujue tuna changamot ya kubadilisha mindset za baadhi ya watanzania wenzetu. Kama si kuzibadilisha mindset basi kuwaweka pembeni katika uongozi wa nchi yetu (yenye asali na maziwa). Hili la mindset (kama sio mindset basi ni ulafi) inajionyesha wazi sana ndani ya bunge letu. Pamoja na kuwa bunge letu lina watu wasomi na ambao akili ya kawaida ingewaona ni watu wenye uelewa mkubwa, lakini unakuta mtu ameng'ang'ania kutetea maovu kwa sababu tu kusema vinginevyo kuta-undermine image ya chama! Mifano ya akina mzee kingunge na akina Anna Abdallah inaweza kutosha kukazia point yangu! Wakati mwingine mtu unaanza kuwaza hivi kweli elimu ya uzalendo (labda na uraia) inatakiwa ipelekwe vijijini kwa watu wasio na ufahamu mkubwa wa dunia ya sasa au uanzie kwa wabunge wa CCM!!!! Maana hawa wabunge hawajaelimika na pia kwa sababu ya uwingi wao wanapotosha jamii kubwa ya vijijini. Kwa kweli kazi ni kubwa sana, lakini inabidi tuifanya kwa juhudi kubwa. Mafanikio yatapatikana, maana hii ni vita ya kupigania taifa letu na jeshi lake ni la wazalendo. Mungu yupo upande wa wenye haki, tutashinda.
Mimi binafsi nakupongeza sana kwa courage yako na uzalendo uliouonyesha mpaka hapa tulipo. Natamka kwa moyo wangu wote kwamba 'You are one of the brilliant Tanzanians'
Keep going (flying) we and God are with you.
Karibu sana.
Samwel Chitalilo ni mfano sahihi hapa!
Haya Mkuu Dr. Slaa,
Ki honeymoon cha ukaribisho naona ndio kimekwisha tena.
Wadau wa nchi wamerudi kazini.
Habari na kazi na maswali na hoja na vioja na majibu na kosoa na mawazo na mapendekezo yameanza.
Watu wamekupa hilo 'jiwe' dogo kwanza, tuone unadili nalo vipi.
Karibu jamvini.
Field Marshal ES,
Thanks a lot. Kimsingi, kinachotusukuma ni uzalendo kwa nchi yetu. Kwangu mimi siasa ya vyama inachukua namba ya mwisho. Kwanza sisi ni Watanzania, na watanzania wawe walalahoi kama wanavyoitwa, au wa ngazi ya juu sana (japo naamini binadamu wote sawa) wote wana mchango katika kuijenga, kuilinda na kuitetea nchi yao. Hakuna mwenye ukiritimba wala hati miliki ya nchi. Hivyo nadhani mchango wa kila mmoja nitauheshimu sana na utaheshimiwa na kila mmoja wetu. Ni kweli JF mimi si mgeni, hivyo kipya ni kujisajili upya. Thanks for the warm welcome.
...Chitallilo ni yule jamaa ambaye alifoji vyeti na hana kitu kichwani nasikia.
Tafadhali waelimisheni ndugu zetu hawa mapema ili waweze kujiunga nasi katika mapambano haya ya ukombozi wa nchi kutoka katika UKOLONI MAMBOSASA (yaani UFISADI).
Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
Sijui niseme jina langu?Shida hamta niamini.Ila naunga mkono siku moja tuseme majina yetu mtashtuka.Wengine mtapata heart attack.
Mkuu Heshima Mbele,
Ni sisi sasa ndio wa kuwaelimisha wananchi, maana mbunge kama huyu Dr. Slaa, ameshafanya kazi kubwa sana kwenye jimbo lake la kuwaelimisha wananchi mpaka wakamchagua, sasa iliyobaki ni kazi yetu sisi wananchi kuelimisha wananchi wengine waliobaki.
....sio jiwe nilitaka kumweka kwenye WIKIPEDIA maana ametusaidia sana kwenye vita vya ufisadi.
Bachelors na Masters zinaweza kuchukua miaka mitano kwa ujumla.
HOWEVER inawezekana kumaliza bachelors kwa miaka mitatu.
Na masters mmoja.Jumla ni minne.
Ninaweza nikawa wrong...Ila if thats the case...Then naomba murekebishe kwani ndio kazi zetu wana jf kurekebishana.
Ili kuwa na phd lazima uwe na masters.
Masters yaweza kupatikana kwa mwaka.
Na bachelors yaweza kupatikana kwa miaka mitatu.
Jumla yaweza kuwa miaka minne which therefore makes a phd in 4yrs?
Au?