DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
..amini, usiamini!
Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
Nilidhani antisadism Ni Lowasa Au Karamagi
Kuna mtu yeyote ana BIO ya DR Slaa,nataka kumjua huyu mpiganaji maana namsikia tuu!
...Slaa hii mbona unaipita bila jibu? tunataka kujua viongozi wetu!
Si umtumie PM au umpigie simu....
Kuna mtu yeyote ana BIO ya DR Slaa,nataka kumjua huyu mpiganaji maana namsikia tuu!
...Slaa hii mbona unaipita bila jibu? tunataka kujua viongozi wetu!
....why PM wakati ni public record!
Quote:- Dr.W.Slaa
Dr.W.Slaa has no status. Junior Member Join Date: Tue Jul 2008
Re: Dr.Slaa ajiandikisha rasmi kuwa member JF.
Field Marshal ES,
Thanks a lot. Kimsingi, kinachotusukuma ni uzalendo kwa nchi yetu. Kwangu mimi siasa ya vyama inachukua namba ya mwisho. Kwanza sisi ni Watanzania, na watanzania wawe walalahoi kama wanavyoitwa, au wa ngazi ya juu sana (japo naamini binadamu wote sawa) wote wana mchango katika kuijenga, kuilinda na kuitetea nchi yao. Hakuna mwenye ukiritimba wala hati miliki ya nchi. Hivyo nadhani mchango wa kila mmoja nitauheshimu sana na utaheshimiwa na kila mmoja wetu. Ni kweli JF mimi si mgeni, hivyo kipya ni kujisajili upya. Thanks for the warm welcome.
yokwenda.Hata mzimu wa Mwalim Julius Kambarage Nyerere inasemekana upo ,na kinachochomshughulisha ni lini Watanzania kwa asilimia kubwa wataweza kuelimika kwa mtandao huu wa utandawazi. na hata ikiwezekana ziwepo sehemu huru ambazo zitamilikiwa na vyama vya upinzani kwa kila mkoa ili kuweza kuruhusu wananchi wa miji mikuu ya wilaya kuweza kupata na kujisomea moja kwa moja nakala zipatikanazo hapa JF.
Yaani kila wilaya iweze kutoa kituo kimoja cha kupata habari kupitia mitandao.Na hata kuruhusiwa kupata nakala za siri kwa kutoa ronyo ili waliko vijijini wapatiwe habari muhimu za yapitayo hapa Tanzania badala ya kungojea magazeti yenye habari za kufikirika.