Hata gaddaf alikuwa anahamasisha wapinzani watimuliwe mahotelin lakini akajakuishia kwenye mtaro wa maji nafikiri Mwenyekiti wa chama cha mabwepande ni somo muhimu sana kwake hilo
acheni raia wasikilize wapime na waamue wenyewe, hii mambo ya kuwa treat kama watoto wa chekechekea inaleta picha mbaya kwa chama chetu ambacho kimsingi ndicho chenye sera nzuri kuliko za cdm.
kweli mkuuSikuzote anayenyanyasika ndio kipenzi cha wanyonge!
Jina "Sumary" says it all, bado wana hasira ya Meru mashariki
Chama chenu kipi?
Kuna jambo watu hawalisemi.
Kuna sababu tena ya msingi sana.
uamuzi wa kumfukuza ulikuwa sahihi.
dah huyo manager ndo yule jamaa ninayemfahamu mie au majina tu yanafanana?