- Thread starter
- #161
Watamkata lini ule mkono wake wenye kansa?
Tuntemeke bana!
Watamkata lini ule mkono wake wenye kansa?
jamani the one picha yako inanikwaza kweli tena plse plse i beg ooooh itoe.yaani nalegea nikiiiona naishiwa nguvudah!!!! Tanzania ni zaidi uijuavyo aisee.!!!!!
Hakika mambo haya yanaumiza sana,ila Mungu alimpa Mfalme Daudi nguvu hata akampiga Farao kwa jiwe na Kombeo. Ipo siku ccm watashangaa,wananchi wanaona! Wameona msitu wa mabwepande,vifo vya watu mbalimbali,manyanyaso ya walimu na madaktari,na wafanyakazi. Mungu atawasimamia wote wanaopigania haki. Mtawaliwa wa leo ndiye mtawala wa kesho.
jamani the one picha yako inanikwaza kweli tena plse plse i beg ooooh itoe.yaani nalegea nikiiiona naishiwa nguvu
Nimeangalia huo umati unaosemwa na Molemo kwenye gazati la Nipashe imenibidi nicheke mkutano wa Dr Slaa anahotubia watoto wadogo...halafu umeme kukatika hakuna uhusiano wowote na mkutano wa Dr Slaa unataka kutuambia Mikumi umeme uwa haukatiki, mbona jana baadhi ya maeneo ya Kawe kulikuwa hakuna umeme napo kulikuwa na mkutano wa Dr Slaa.
Hujui lolote kijana.
ungejua sababu ya kumfukuza wala usingetema povu
Kwanza mimi sio kijana kutokana na "definition ya kijana" ninavyoielewa mimi. Pili nime-respond kutokana na report niliyosoma/iliyobandikwa hapa; nje ya hapo sifahamu-labda wewe ututajie sababu tofauti na hiyo iliyo-repotiwa hapo kwenye hii habari. Sina haja yakutema povu ndugu, nime-respond kutokana na jinsi nilivyo-view hii issue. Unaweza ukai-view differently pia; ni sawa, sio kila mwenye mtizamo tofauti anatema povu. Ingekuwa busara zaidi ungeelezea mtizamo wako, na kusema hicho unachokijua ambacho hakiko kwenye hiyo habari.
sasa usipende kushadadia yale usiyokuwa na uhakika nayo.
Ngoja nkusanye data nije kuweka hapa JF juu ya kufukuzwa kwa slaa
Haki itashinda maovu