Dr. Ndarichako jipange ur next.....

Status
Not open for further replies.
Tena huyu ndalichako tunausongo nae lazima atueleze kuna siri gani hapo.

khaa! Yaan kuna watu mnatia kichefuchefu.,....kweli aliyesema interview ingekuwa inafanyika kabla ya kujiunga na JF Hakukosea....hv na ww utajiita GT
 
mtu kuwa muislam sio tatizo, hoja ni je anaufanyia vp kazi uislam wake?
Wapo waislam jina wengi ambao dunia kwao ni bora kuliko akhera, hao hawana manufaa na uislam na wakotayari kuiuza dini yao kwaajili ya dunia.
Vivyohivyo wapo watu wakristo wengi wasiofuata maandiko ya biblia, hayo ni mambo yapo na yanajulikana ulimwenguni kote.
Muislam wa kweli akhera ni bora kwake kuliko dunia, hadhulumu, haibi, hapendelei, ni muadilifu kwa matendo yake na imani yake kwani ndivyo uislam unavyofundisha.

Mkuu Peri if i may ask tumefika huko?na nani ametufikisha hapa?na mwisho wake nini?
 
wakimaliza hapo wataandamana kudai chadema iwe kafu, na watafanikiwa... kisha wataandamana tena kusema bara iitwe zanzibar na zanzibar iitew visiwani, watafanikiwa

wakimaliza watasema baraza lote wapange wao, watafanikiwa pia

zaifffffffffffffffffffffffffffffff
Kaka mawazo yako ni hayo basi ngoja tujipange ila hatutotaka cdm iwe cuf bali maandamano tutayaelekeza kwa tendwa kuwa cdm ifutwe ni chama cha kanisa. Hapo unasemaje. Na ivi tendwa ameshazungumzia ndio atapata nguvu na hapo hapo kitafutwa. Ngoja tuorganize. Mtajuta kutoa wazo. Tutaungana na tendwa kuhakikisha uchaguzi ujao hakipo.
 
Kumuondoa Uyu mama ni sawa na suluhisho la kuungoa mti kwa kuprune matawi badala ya mizizi
Ata shekhe mkuu ndo awe top wa necta hakuna mabadiliko we know mumeinvest kwenye madrasa na misikiti badala ya kwenye elimu nazani ata Mwinyi aliwai waambia ilo
 
Kumuondoa Uyu mama ni sawa na suluhisho la kuungoa mti kwa kuprune matawi badala ya mizizi
Ata shekhe mkuu ndo awe top wa necta hakuna mabadiliko we know mumeinvest kwenye madrasa na misikiti badala ya kwenye elimu nazani ata Mwinyi aliwai waambia ilo

Mkuu wanawekuwa wanadeal na symptoms and not problem vice versa is true.Inshort hawajamtambua adui yao
 
Kumuondoa Uyu mama ni sawa na suluhisho la kuungoa mti kwa kuprune matawi badala ya mizizi
Ata shekhe mkuu ndo awe top wa necta hakuna mabadiliko we know mumeinvest kwenye madrasa na misikiti badala ya kwenye elimu nazani ata Mwinyi aliwai waambia ilo

Shehe mkuu unamjua wewe. Sisi tunataka mtu wa kusimamia usawa na baraza lisiwe na wafanyakazi wa dhehebu moja rc tu kwani pale ni parokiani? Hili litafanyika na litafanikiwa we subiri utaona hayo maandamano. Dhuruma basi hatutaki tena. Tunataka mtu anayeongoza kwa usawa na si kwahisia za imani yake.
 
watu wavivu, hayatak shule, hayatak suluhu, madai ya kijuhajuha, mijitu inawaza upumbavu muda wote, mijitu inaona dini ni ya kwanza kuliko maswala mengine yanayo-shape direction ya maisha ya mtanzania.
 
Shehe mkuu unamjua wewe. Sisi tunataka mtu wa kusimamia usawa na baraza lisiwe na wafanyakazi wa dhehebu moja rc tu kwani pale ni parokiani? Hili litafanyika na litafanikiwa we subiri utaona hayo maandamano. Dhuruma basi hatutaki tena. Tunataka mtu anayeongoza kwa usawa na si kwahisia za imani yake.

Mkuu mi nafikiri tungekuwa objective kidogo issue iwe perfomance na delivarable na siyo dini au thehebu.au unasemaje?
 
Ningezaliwa mgalatia nisingekuwa na Amani maisha yangu yote.Aluta continual

Kwa Yesu kuna amani tele kijana. Upendo ndio unatawala.

Ila hizi siasa za kutanguliza ubaguzi wa DINI zitatufikisha pabaya. Mtakuja na Washia na Sunni, then mtaanza waislam waarabu na wabara,, then dhambi itawatafuna.

Embu tuconcentrate kwenye vitu vya maana mfano Oil and Gas! Toa vijana madrasa wakasome Petroleum Engineering Saudi au Scotland waje tupige mzigo offshore.

Sio kafir kafir, dini zimeletwa kututawala na kutunyonya na watu ndio mmeloweka
 
watu wavivu, hayatak shule, hayatak suluhu, madai ya kijuhajuha, mijitu inawaza upumbavu muda wote, mijitu inaona dini ni ya kwanza kuliko maswala mengine yanayo-shape direction ya maisha ya mtanzania.

Mkuu nakubaliana na wewe uchumi wetu unayumba sababu ya mambo mengine ambayo yanawezakuzuilika......miluzi mingi umpoteza mbwa.tuwe issue za imani pembeni tupige kazi
 
Kwa Yesu kuna amani tele kijana. Upendo ndio unatawala.

Ila hizi siasa za kutanguliza ubaguzi wa DINI zitatufikisha pabaya. Mtakuja na Washia na Sunni, then mtaanza waislam waarabu na wabara,, then dhambi itawatafuna.

Embu tuconcentrate kwenye vitu vya maana mfano Oil and Gas! Toa vijana madrasa wakasome Petroleum Engineering Saudi au Scotland waje tupige mzigo offshore.

Sio kafir kafir, dini zimeletwa kututawala na kutunyonya na watu ndio mmeloweka

Ur very rite mkuu nimechangia pia kwa nganangwakuwa miluzi mingi umpoteza mbwa!dini isiwe issue kwenye uchumi tupige kazi bila kujali dili wala kabila
 
kosa la Ndalichako ni kuwa KAFIR, kwani mpango wetu ni kuhakikisha nafasi zote muhimu ndani ya nchi zinashikwa na watu wa DINI YETU!Tukimaliza Ndalichako tutamfuatilia mtoto wa mkulima kwani ndio pekee anatia kiwingu pale juu! nyinyi endeleeni kulala sisi tupo kazini mpaka kieleweke!

Are you serious?
Udini at its highest stage!
 
watu wavivu, hayatak shule, hayatak suluhu, madai ya kijuhajuha, mijitu inawaza upumbavu muda wote, mijitu inaona dini ni ya kwanza kuliko maswala mengine yanayo-shape direction ya maisha ya mtanzania.

Hii ndo tofauti ya mtazamo wa kikafir na wa kiislam! Makafir dunia kwao ni pepo bt ni gereza kwa muumini wa kiislam.
Si wewe wala hao wanaoandamana walioko katika usahihi. Uislam hautasimama katu kwa kufuata matakwa ya watu fulani bila ya kufuata njia alizotumia mtume SAW na maswhaba wake kuusimamisha.
Ispokuwa ALLAH huwatia ujasiri kwa kuwateremshia malaika waislamu popote wanapoungana iwapo watasema wao MOLA wao ni ALLAH kisha wakawa na msimamo, na huwazidishia hofu wapinzani wao, ndicho kilichotokea jana.
Haikuwa njia sahihi na haitasaidia kufika wanakotaka isipokuwa kumkubali kwao ALLAH na kuwa na msimamo kwa wanchodai imekuwa threat kwa makafir, nyote mmeshuhudia.
OGOPENI tunaoanza kufuata njia sahihi halafu itapofika wakati yakawa wazi, hakuna atakayeweza kuzuia nusra ya ALLAH, nayo iko njiani yaja, hata wewe utaunga mkono insha ALLAH, nafaham huwezi kulikubali hili kwa sasa.
"Itapokuja nusra ya ALLAH na itapokuwa wazi, utawaona watu wakiingia ktk dini ya ALLAH makundi kwa makundi"
(Ni maneno machache tu ya Qur'an)

Nawasilisha.
 
Hii ndo tofauti ya mtazamo wa kikafir na wa kiislam! Makafir dunia kwao ni pepo bt ni gereza kwa muumini wa kiislam.
Si wewe wala hao wanaoandamana walioko katika usahihi. Uislam hautasimama katu kwa kufuata matakwa ya watu fulani bila ya kufuata njia alizotumia mtume SAW na maswhaba wake kuusimamisha.
Ispokuwa ALLAH huwatia ujasiri kwa kuwateremshia malaika waislamu popote wanapoungana iwapo watasema wao MOLA wao ni ALLAH kisha wakawa na msimamo, na huwazidishia hofu wapinzani wao, ndicho kilichotokea jana.
Haikuwa njia sahihi na haitasaidia kufika wanakotaka isipokuwa kumkubali kwao ALLAH na kuwa na msimamo kwa wanchodai imekuwa threat kwa makafir, nyote mmeshuhudia.
OGOPENI tunaoanza kufuata njia sahihi halafu itapofika wakati yakawa wazi, hakuna atakayeweza kuzuia nusra ya ALLAH, nayo iko njiani yaja, hata wewe utaunga mkono insha ALLAH, nafaham huwezi kulikubali hili kwa sasa.
"Itapokuja nusra ya ALLAH na itapokuwa wazi, utawaona watu wakiingia ktk dini ya ALLAH makundi kwa makundi"
(Ni maneno machache tu ya Qur'an)

Nawasilisha.

Napita nitarudi vita uchama vs vita udini where are we headn to?
 
wakimaliza hapo wataandamana kudai chadema iwe kafu, na watafanikiwa... kisha wataandamana tena kusema bara iitwe zanzibar na zanzibar iitew visiwani, watafanikiwa

wakimaliza watasema baraza lote wapange wao, watafanikiwa pia

zaifffffffffffffffffffffffffffffff

mkuu nawe unamawazo mgando! waache waandamane maana din yao inaruhusu jihad .
 
Ur very rite mkuu nimechangia pia kwa nganangwakuwa miluzi mingi umpoteza mbwa!dini isiwe issue kwenye uchumi tupige kazi bila kujali dili wala kabila

Tatizo the way mnavoidefine dini kwa kuihusisha ni part tu ya maisha, NO!
Ni kila unachofanya, even uchumi nao unaingia ktk dini mkuu. Sina haja ya kuanza kushuka nondo hapa the way uislam unavozungumzia namna ya kutokomeza umaskini ktk jamii...mifumo halali ya kisiasa, sheria, Kanuni na Taratibu za kila ukifanyacho.
Lengo la kuumbwa kwako ni kumtumikia aliyekuumba na kuishi atakavyo kila sekunde unayovuta pumzi, nna imani hukatai yupo aliyekuumba achilia mbali slogan kwmba dini tumeletewa kutupumbaza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom