Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Naunga mkono:Ndalichako alifanya kosa kubwa sana kwa kutumia formula ya zamani wakati wa mitihani mitau.Nikweli aliwafelisha.Mimi linapokuja suala la utendaji sina udini.Kama mtukaboronga kwanini bado yopo hapo NECTA?.Nadhani aachie ngazi mwenyewe.Ukweli ni ukweli tuu.Ndalichako alikosea.
Huo mtihani wa dini iwe Christianity au Islamic ...hauna faida ..sana hautupatii madaktari,wala maengineer.....nashanngaa kwa nini watu wannabeba Bango namna hiyo