Dr. Ndarichako jipange ur next.....

Status
Not open for further replies.
Naunga mkono:Ndalichako alifanya kosa kubwa sana kwa kutumia formula ya zamani wakati wa mitihani mitau.Nikweli aliwafelisha.Mimi linapokuja suala la utendaji sina udini.Kama mtukaboronga kwanini bado yopo hapo NECTA?.Nadhani aachie ngazi mwenyewe.Ukweli ni ukweli tuu.Ndalichako alikosea.

Huo mtihani wa dini iwe Christianity au Islamic ...hauna faida ..sana hautupatii madaktari,wala maengineer.....nashanngaa kwa nini watu wannabeba Bango namna hiyo
 
Hivi hawa Waislamu zaidi ya Kusengenya Viongozi hawana kingine cha kuhubiri huko Misikitini? oh mara huyu katufelisha, mara mfumo kristo, mara sensa, mara kafir. Ukisikia mawaidha yao utashangaa jinsi wasivyokuwa na cha kufundishana zaidi ya chuki, mara wanaonewa na mengineyo. Ninaishi karibu na Msikiti yaani yanayohubiriwa huko huwezi amini ni kusanyiko la Waumini wa Mwenyezi Mungu.Jazba JAZBA,

Nini kifanyike mkuu
 
Ishu ni kutokana na watu kudhani kuwa akili zetu zaweza kutatua kila kitu bila kufuata kanuni zinazotawala maisha ya binadam!
Tumepewa akili kufikiri ila kwa vitu ambavyo vishawekewa mipaka huna haja ya kutumia akili yako lazma uumie.ingekuwa akili ya binadam yaweza kila kitu ungeweza kutembea, kusema, na kufanya chochote mwenyewe baada tu ya kuzaliwa! Bt hukuweza yote hayo, na kanuni hiyohiyo ndiyo inayotumika kukukuza ambapo huwezi kuuzuia uzee wala hutaweza kutumia akili yako kuzuia kifo!
Kwa hiyo maumbile yako yenyewe yanakiri kufuata kanuni iliyowekwa na MUUMBA, why sasa ktk kipindi unachodhani una akili sana ya kufikiria usifuate kanuni hizo!?
Huu ni ukumbusho tu ndugu zangu, ee MOLA shuhudia nimefikisha japo kwa uchache kile ulichoniwezesha...
 
Hilo neno mkuu, badala ya kuangalia maendeleo binafsi kiuchumi, fitna tu, Angalia Syria HAKUNA so called kafir, Lakini fitna at play wanauana wenyewe KWA wenyewe !!! Kazi kweli kweli eh mja waukweli, tufunue akili zetu

kwani we mkuu una maendeleo gani ya ajabu ambayo waislamu hawanayo?.
Hao wanauana syria kwa upande mmoja kupata silaha toka nchi za kikristo umeona ndo mfano.
Hao wanatwangana risasi kule USA,MEXCO ,COLOMBIA,CONGO ,unawajudge vipi?.
Tushawajua nyinyi wanafiki mnapenda kuwajudge watu kwa dini zao.
 
kosa la Ndalichako ni kuwa KAFIR, kwani mpango wetu ni kuhakikisha nafasi zote muhimu ndani ya nchi zinashikwa na watu wa DINI YETU!Tukimaliza Ndalichako tutamfuatilia mtoto wa mkulima kwani ndio pekee anatia kiwingu pale juu! nyinyi endeleeni kulala sisi tupo kazini mpaka kieleweke!
Siku zote tunalalamikia kwamba kuna wanazi ndani ya JF ambao wao adui yao mkubwa ni uislam na si CCM. Sijui kwa bahati mbaya au ni makusudi wanazi hao mara nyingi ni washabiki wa CDM (rejea hoja za mzalendoasilia kwenye thread nyingine). Sasa kwa Comment kama za mzalendoasilia unategemea tutakuwa wamoja!!. Wakuu tubadilike JF isije ikatafsiliwa kama kijiwe cha kudhihaki imani za watu
 
kwani we mkuu una maendeleo gani ya ajabu ambayo waislamu hawanayo?.
Hao wanauana syria kwa upande mmoja kupata silaha toka nchi za kikristo umeona ndo mfano.
Hao wanatwangana risasi kule USA,MEXCO ,COLOMBIA,CONGO ,unawajudge vipi?.
Tushawajua nyinyi wanafiki mnapenda kuwajudge watu kwa dini zao.

Asante mkuu, natumia mobile tu ningekubonyezea bonge la LIKE...
 
wakimaliza hapo wataandamana kudai chadema iwe kafu, na watafanikiwa... kisha wataandamana tena kusema bara iitwe zanzibar na zanzibar iitew visiwani, watafanikiwa

wakimaliza watasema baraza lote wapange wao, watafanikiwa pia

zaifffffffffffffffffffffffffffffff

Hii sasa ni zaidi ya ZAIFFF; hii ni MTINDIO WA UBONGO....
 
Smart move kwa waislam kuandamana bila taarifa yoyote, maana iwapo yangetangazwa wahuni wa c*m wangevamia na kusababisha maafa ionekane waislam ni wavunja amani. Mission accomplished, Ndugu zetu wameshaachiwa na kesi zitafutwa kimya kimya au watapigwa faini ya shilingi elfu mbili (2000) kila mmoja ili iwe fundisho kwa wengine (teh teh teh).
 
what am talking here is nothing rather than truth. Hawana hasira nandalichako bali wanahasira na DINI YA NDALICHAKO.
 
Hii ndo tofauti ya mtazamo wa kikafir na wa kiislam! Makafir dunia kwao ni pepo bt ni gereza kwa muumini wa kiislam.
Si wewe wala hao wanaoandamana walioko katika usahihi. Uislam hautasimama katu kwa kufuata matakwa ya watu fulani bila ya kufuata njia alizotumia mtume SAW na maswhaba wake kuusimamisha.
Ispokuwa ALLAH huwatia ujasiri kwa kuwateremshia malaika waislamu popote wanapoungana iwapo watasema wao MOLA wao ni ALLAH kisha wakawa na msimamo, na huwazidishia hofu wapinzani wao, ndicho kilichotokea jana.
Haikuwa njia sahihi na haitasaidia kufika wanakotaka isipokuwa kumkubali kwao ALLAH na kuwa na msimamo kwa wanchodai imekuwa threat kwa makafir, nyote mmeshuhudia.
OGOPENI tunaoanza kufuata njia sahihi halafu itapofika wakati yakawa wazi, hakuna atakayeweza kuzuia nusra ya ALLAH, nayo iko njiani yaja, hata wewe utaunga mkono insha ALLAH, nafaham huwezi kulikubali hili kwa sasa.
"Itapokuja nusra ya ALLAH na itapokuwa wazi, utawaona watu wakiingia ktk dini ya ALLAH makundi kwa makundi"
(Ni maneno machache tu ya Qur'an)

Nawasilisha.


mpaka utakufa utazikwa utaoza wewe na kizazi chako chote hizo nadharia za kiarabu hazitafanikiwa.
 
mpaka utakufa utazikwa utaoza wewe na kizazi chako chote hizo nadharia za kiarabu hazitafanikiwa.

Si wewe Ng'wanangwa wa kwanza kupinga unazoziita nadharia za kiarabu! Walikuwepo watu walijiita Baba wa Ujinga (Abu Jahali) waliopinga kwa vitendo lakini angalia ulivokuwa mwisho wao!
ALLAH akuongoze na akuepushe na shaytwan na shirki zake.
 
Penye uzia penyeza rupia JK ni uzia na wakati ni ukuta wamebakiza taklibani miaka miwili tu na wao mkononi wanarupia na rupia zenyewe ni kadhi, oic, elimu katika mfumo wa kiislamu, zanzibar huru, kupinga sheria ya ugaidi isiwepo, kugeuza shule za seminari zote kuwa madrasa, wanawake hakuna kuvaa hovyo (hapa na mimi nitashiriki kuandamana) na wanaume wote wafuge ndevu nyingi na ziwekwe rangi ya udongo au brown. Sasa mm upande wangu naona wako sahihi maana possibilite ya kupata uzia mwingine ni miaka kumi mbe
 
Mkuu nakubaliana na mchango n we share the same concern.Nilichokuwa nataka kushare ni kwamba Dini inaambata na Imani na hapa ndiyo watu huwa wanatofautiana mnaweza kuwa dini mmoja lakini imani tofauti hii inatokana na jinsi unavyoelewa na kutafsiri maandiko matakatifu.sasa kwenye haya yanayohusu uchumi ambao unamilikiwa na watu wenye dini na imani tofauti katika kuujengea vigezo na sifa sisiwe imani wala dini.am stand to be corrected.

nakubaliana na wewe to an extent,hatuwezi kusema tufuate njia za dini fulani ktk kujenga uchumi wetu,huko ni kukaribisha vurumai zaidi,je dini nyingine wakisema nazakwetu hizi hapa mbona hatuzifuati?vipi wasiokuwa na dini tunawaweka ktk kundi gani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom