...Asante sana Mkuu kwa kulisema hili. Nilidhani ni mimi peke niliyekuwa nimesikia yule katibu akitangaza kwa sauti kabisa kuwa Jamaa wameachiwa Huru kuanzia wakati ule. Hakuna popote aliposema ni 'Kwa Dhamana'!
Ndio maana nikashangaa mno kwenye taarifa ya habari ya ITV ya saa 2 usiku kusikia ati 'Wameachiwa kwa Dhamana'! Kweli Nchi hii ina Vibuyu Wazi Wengi...!
..Nani anamfaham mume wa Dr. Ndalichako? This is a million dollar question!
Baada ya waandamani ya waislam leo kufanikiwa kuwakomboa wenzao ambao walishikiliwa na polisi kwa kukataa kushiri katika zoezi la sensa wamesema wanaenda kujipanga na safari hii NECTA wanataka kushinikiza Dr. Ndarichako kuachia ngazi kwa kile kinachoonekana kuto watendea haki.
Mytake:
1.Je hayo maandamano yatapewa kibali?
2. Serikali watakuwa tayari kumtosa Ndalichako ili kuwafurahisha waandamanaji?
Naomba kuwasilisha
Mkuu baada ya hii na kumuondoa dr ndalichako tutaandamana tena kudai serikali igharamie mahakama za kadhi tumalizie na kumuondoa pinda ili safu yetu ikamilikeBaada ya waandamani ya waislam leo kufanikiwa kuwakomboa wenzao ambao walishikiliwa na polisi kwa kukataa kushiri katika zoezi la sensa wamesema wanaenda kujipanga na safari hii NECTA wanataka kushinikiza Dr. Ndarichako kuachia ngazi kwa kile kinachoonekana kuto watendea haki.
Mytake:
1.Je hayo maandamano yatapewa kibali?
2. Serikali watakuwa tayari kumtosa Ndalichako ili kuwafurahisha waandamanaji?
Naomba kuwasilisha
ni profesa wa chuo kikuu na ni muislamu!
Mkuu baada ya hii na kumuondoa dr ndalichako tutaandamana tena kudai serikali igharamie mahakama za kadhi tumalizie na kumuondoa pinda ili safu yetu ikamilike
Jamani nchi imekwenda na maji!!! Ndalichako yuko chini ya waziri (Shukuru Kawambwa) wa dini yao mbona wasimfuate ili awafaulishie watoto wao? Chaguo la Mungu limeiweka nchi pabaya huu undumila kuwili ndiyo nini sasa? Mwema na Nchimbi mmeaibika kupita kifani hata watoto wa chekechea kwa hili watawadharau. Waisalm mkitaka kupata maendeleo ya elimu dunia andamaneni ikulu muiambie serikali iboreshe elimu maana mnasikilizwa na kuogopwa sana.
Mkuu tunataka safu zote za uongozi wa juu ziwe chini ya dini yetu ili ijumaa kwenye sala zetu tuwe tunapanga mikakati vizuri ambayo tukiipeleka haitapigwa . Huoni IGP na kamanda wa polisi DSM ni ndugu zetu ndio maana maandamano hayakuhitaji kibali kwasababu tulikubaliana nao huko masjidTatizo nini asa mkuu ni utendaji wa mtu au dini yake?this is tanzania special
Mkuu baada ya hii na kumuondoa dr ndalichako tutaandamana tena kudai serikali igharamie mahakama za kadhi tumalizie na kumuondoa pinda ili safu yetu ikamilike
Ningezaliwa mgalatia nisingekuwa na Amani maisha yangu yote.Aluta continual
Mkuu tunataka safu zote za uongozi wa juu ziwe chini ya dini yetu ili ijumaa kwenye sala zetu tuwe tunapanga mikakati vizuri ambayo tukiipeleka haitapigwa . Huoni IGP na kamanda wa polisi DSM ni ndugu zetu ndio maana maandamano hayakuhitaji kibali kwasababu tulikubaliana nao huko masjid
We unadhani Watapataje KURA bila Uti wa Mgongo wa Waislam.. Halafu wakipata Wanawatupa Kama takataka na Wenyewe wanafurahia kisa kuna Waislam waliowachagua. Akirudi nyumbani hana hata chumvi..