Dr. Ndarichako jipange ur next.....

Status
Not open for further replies.

KOMBAJR

JF-Expert Member
Nov 15, 2011
5,827
1,271
Baada ya waandamani ya waislam leo kufanikiwa kuwakomboa wenzao ambao walishikiliwa na polisi kwa kukataa kushiri katika zoezi la sensa wamesema wanaenda kujipanga na safari hii NECTA wanataka kushinikiza Dr. Ndarichako kuachia ngazi kwa kile kinachoonekana kuto watendea haki.
Mytake:
1.Je hayo maandamano yatapewa kibali?
2. Serikali watakuwa tayari kumtosa Ndalichako ili kuwafurahisha waandamanaji?
3. Tatizo ni Ndarichako au mfumo?
Naomba tujadili wadau wakienda NECTA Pale watatosha?
images.jpg IMG-20120907-00260.jpg
 
Ya leo yalikuwa na kibali? Ukisikia Takbiiiir mkuu kaa kando. Na ukizingatia keo wamepata nguvu basi bila shaka Dr. Ndalichako itabidi ijifungashie virago tu. Jamaa wataingia pale na kuoiga swala tano hadi kieleweke. Leo wamepewa shavu la nguvu.
 
Wamewakosa tu. Wangetafuta angalau wa3 wawaonyeshe jinsi inavyoendeshwa. Wanatumia udhaifu wa JK. Njomba angewafanya mbaya leo. Dini haina haki ya kuamua mstakhabali wa nchi ya watu mil. 40
 
Baada ya waandamani ya waislam leo kufanikiwa kuwakomboa wenzao ambao walishikiliwa na polisi kwa kukataa kushiri katika zoezi la sensa wamesema wanaenda kujipanga na safari hii NECTA wanataka kushinikiza Dr. Ndarichako kuachia ngazi kwa kile kinachoonekana kuto watendea haki.
Mytake:
1.Je hayo maandamano yatapewa kibali?
2. Serikali watakuwa tayari kumtosa Ndalichako ili kuwafurahisha waandamanaji?
Naomba kuwasilisha
kosa la Ndalichako ni kuwa KAFIR, kwani mpango wetu ni kuhakikisha nafasi zote muhimu ndani ya nchi zinashikwa na watu wa DINI YETU!Tukimaliza Ndalichako tutamfuatilia mtoto wa mkulima kwani ndio pekee anatia kiwingu pale juu! nyinyi endeleeni kulala sisi tupo kazini mpaka kieleweke!
 
Ya leo yalikuwa na kibali? Ukisikia Takbiiiir mkuu kaa kando. Na ukizingatia keo wamepata nguvu basi bila shaka Dr. Ndalichako itabidi ijifungashie virago tu. Jamaa wataingia pale na kuoiga swala tano hadi kieleweke. Leo wamepewa shavu la nguvu.

Mkuu maneno ya kamanda Mnyika kuhusu dhaifu inadhibitika kidogo kidogo.lets wait n see
 
kosa la Ndalichako ni kuwa KAFIR, kwani mpango wetu ni kuhakikisha nafasi zote muhimu ndani ya nchi zinashikwa na watu wa DINI YETU!Tukimaliza Ndalichako tutamfuatilia mtoto wa mkulima kwani ndio pekee anatia kiwingu pale juu! nyinyi endeleeni kulala sisi tupo kazini mpaka kieleweke!

Mkuu ur my eye opener kumbe ndo hivyo?basi twafa
 
Baada ya waandamani ya waislam leo kufanikiwa kuwakomboa wenzao ambao walishikiliwa na polisi kwa kukataa kushiri katika zoezi la sensa wamesema wanaenda kujipanga na safari hii NECTA wanataka kushinikiza Dr. Ndarichako kuachia ngazi kwa kile kinachoonekana kuto watendea haki.
Mytake:
1.Je hayo maandamano yatapewa kibali?
2. Serikali watakuwa tayari kumtosa Ndalichako ili kuwafurahisha waandamanaji?
Naomba kuwasilisha
Kwani maandamano ya leo yalikuwa na kibali?
 
Yaani leo upepo umeiendea vibaya mno CCM,tendwa naye kafanywa mbaya mbele ya camera za ITV
 
kosa la Ndalichako ni kuwa KAFIR, kwani mpango wetu ni kuhakikisha nafasi zote muhimu ndani ya nchi zinashikwa na watu wa DINI YETU!Tukimaliza Ndalichako tutamfuatilia mtoto wa mkulima kwani ndio pekee anatia kiwingu pale juu! nyinyi endeleeni kulala sisi tupo kazini mpaka kieleweke!
UTAWALA wa DHAIFU huu yote yawezekana hasa ukizingatia,uamsho ALIUPANDIKIZA YE MWENYEWE NA KASHINDWA KUULIPA FADHILA SASA NDO MAZAO YAKE HAYO.
 
As long as JK yupo madarakani, hawa wavaa suruali fupi, they are like free molecule.... Lakini ili la nderichako hawa jamaa hawako sahihi, kwani wao wame-invest kwenye elimu ahera... Matokeo yake elimu dunia inawafanya kitu mbaya...
 
Wamewakosa tu. Wangetafuta angalau wa3 wawaonyeshe jinsi inavyoendeshwa. Wanatumia udhaifu wa JK. Njomba angewafanya mbaya leo. Dini haina haki ya kuamua mstakhabali wa nchi ya watu mil. 40

Dhaifu plus plus.........kavuta waya akiwa kampala achia hao!
 
wakimaliza hapo wataandamana kudai chadema iwe kafu, na watafanikiwa... kisha wataandamana tena kusema bara iitwe zanzibar na zanzibar iitew visiwani, watafanikiwa

wakimaliza watasema baraza lote wapange wao, watafanikiwa pia

zaifffffffffffffffffffffffffffffff
 
As long as JK yupo madarakani, hawa wavaa suruali fupi, they are like free molecule.... Lakini ili la nderichako hawa jamaa hawako sahihi, kwani wao wame-invest kwenye elimu ahera... Matokeo yake elimu dunia inawafanya kitu mbaya...

JK anaweka mazingira mabaya sana ya mtawala ajaye

na nadhani anafanya makusudi
 
As long as JK yupo madarakani, hawa wavaa suruali fupi, they are like free molecule.... Lakini ili la nderichako hawa jamaa hawako sahihi, kwani wao wame-invest kwenye elimu ahera... Matokeo yake elimu dunia inawafanya kitu mbaya...

Mkuu naomba nisaidie kuelewa hivi issue ya Ndalichako na waislamu si lilizungumzwa likaisha?au
 
Baada ya waandamani ya waislam leo kufanikiwa kuwakomboa wenzao ambao walishikiliwa na polisi kwa kukataa kushiri katika zoezi la sensa wamesema wanaenda kujipanga na safari hii NECTA wanataka kushinikiza Dr. Ndarichako kuachia ngazi kwa kile kinachoonekana kuto watendea haki.
Mytake:
1.Je hayo maandamano yatapewa kibali?
2. Serikali watakuwa tayari kumtosa Ndalichako ili kuwafurahisha waandamanaji?
Naomba kuwasilisha
Hapo necta hata akiwekwa Malaika watu wataendelea kufeli tu. Wenyewe mmekubali kuwa Uislam/Akhera kwanza then ndo mambo mengine baadaye. Necta ingekuwa inashughulika na mambo ya akhera tu , mngefaulu vizuri sana...poleni.
 
UTAWALA wa DHAIFU huu yote yawezekana hasa ukizingatia,uamsho ALIUPANDIKIZA YE MWENYEWE NA KASHINDWA KUULIPA FADHILA SASA NDO MAZAO YAKE HAYO.

yule katibu mkuu naye ni wale wale ndo maana kawasikiliza upuuzi wao. Hawa jamaa wana double std sana, nahisi baada ya kuondoka hawa vilaza wenzake wakamwambia umefanya kosa kubwa sana ndo maana akabadili maandishi kwamba wameachiwa kwa dhamana. Pumbavu mmeweka udini kila mahali sasa mambo yanawashinda
 
From what I know post ya Ndalichako ni ya kitaalum, kama hakuingia kwa maandamano mtamtoaje kwa maandanamo...
 
Waislam leo wameweza kuandamana bila ya kuitisha Press conference wala kutangaza kwenye media yoyote kama vile walivyofanikiwa kususia sensa pamoja na hila nyingi za serikali pamoja na shoga zao wa muda, hakuna hata Aliesukumwa,hakuna uporaji,hakuna uvunjifu wa amani,wanngetangaza maandamano basi wale mawakala wa serikali wangewahi kuchoma moto makanisa,kuchoma moto magari ili ionekane wamechangia uvunjifu wa amani,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom