KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Baada ya waandamani ya waislam leo kufanikiwa kuwakomboa wenzao ambao walishikiliwa na polisi kwa kukataa kushiri katika zoezi la sensa wamesema wanaenda kujipanga na safari hii NECTA wanataka kushinikiza Dr. Ndarichako kuachia ngazi kwa kile kinachoonekana kuto watendea haki.
Mytake:
1.Je hayo maandamano yatapewa kibali?
2. Serikali watakuwa tayari kumtosa Ndalichako ili kuwafurahisha waandamanaji?
3. Tatizo ni Ndarichako au mfumo?
Naomba tujadili wadau wakienda NECTA Pale watatosha?
Mytake:
1.Je hayo maandamano yatapewa kibali?
2. Serikali watakuwa tayari kumtosa Ndalichako ili kuwafurahisha waandamanaji?
3. Tatizo ni Ndarichako au mfumo?
Naomba tujadili wadau wakienda NECTA Pale watatosha?