Dr. Mwakyembe yuko fit sasa.....?

Mbona madaktari wengi sana, ukifuatilia vizuri wako kama 30 hivi...Wamegundua tatizo ni nini. Pengine wanatuona watu wa ajabu pia. Upone naibu waziri na (MB) wetu.
 
Nakuombea kwa mungu upone.

Ukirudi Tanzania upunguze unafiki.
 
Mbona madaktari wengi sana, ukifuatilia vizuri wako kama 30 hivi...Wamegundua tatizo ni nini. Pengine wanatuona watu wa ajabu pia. Upone naibu waziri na (MB) wetu.

Kwenye cases complicated kama hizi, na katika hospitali kubwa kama hii ya appolo, hapo kuna madaktari aina mbili au tatu. 1. Madaktari bingwa mahiri (Super specialist doctors). 2. Madaktari bingwa (Specialist doctors) na 3. Madaktari wanaosomea udaktari bingwa au udaktari bingwa mahiri (Resident doctors or super specialist resident doctors) 4. Wanafunzi wa udaktari wa shahada ya kwanza, bila kusahau wauguzi.

Elewa kuwa wengine wanakuwa wapo mafunzoni.
 
Pichani Dr .wa kweli aliye enda shule sio ya kupewa akiwa amepozi na madaktari waliomtibu wa Hospitali aliyolazwa <BR>[/QUO<IMG border=0 alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/-IAykDZZBTWY/TptRUdy4LAI/AAAAAAAByHY/PDyBQzCJWd8/s1600/DSC_7029.JPG">TE]<BR><BR>Wakuu mimi nasoma India, Jimbol la Tamil Ladu ambako Dk. Mwakyembe anatibiwa. Wanafunzi wengi tulifika kumjulia hali, ndipo tukakuta maandilizi makubwa ya HAFLA WALIYOIITA "APOLLO TOUCHING LIVES AFRICA" ya kuanzisha mahusiano ya kimtandao kati ya Apollo na wagonjwa wake. Uongozi wa mtandao huu wa kimataifa wa hospitali uliomba Ubalozi wa Tanzania, New Delhi ili mgonjwa wao, Dk. Mwakyembe, awe Mgeni wa Heshima. Dk. Mwakyembe akataarifiwa, akavua nguo za hospitali na kwenda kwenye hafla hiyo akiwa amefuatana na Mwambata wa Afya wa Ubalozi wetu wa New Delhi, Dk. Kheri Goloka (aliyesimama nyuma tu ya Dk. Mwakyembe). Kwa sisi wanafunzi wa Tanzania tulijisikia vema sana Waziri wetu alipopewa nafasi, akatema ung'en'g'e wa uhakika uliowasukuma hata Waaafrika wenzetu waliokuwepo; akawapasha Apollo kuwa ufanisi wao hautokani na idadi kubwa ya mabingwa wa tiba, vifaa vya kisasa, madawa makali, bali mkono wa utu. usikivu na kujali katika tiba yao. Akili inachemka, lakini afya yake inadai sana maombi, NIONAVYO MIMI.<BR><BR><BR><BR><BR><BR><BR><BR><BR>\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\
 
Jamani mwenye taarifa aweke wazi kuhusu afya ya huyu Mwanasheria wetu, na iwapo kweli kapona au hiyo ni pix tu! Ilikuwa vipi wakapiga picha na mgonjwa mbona wengine hawapi nao? na je huyo Mzee wa Kiafrika aliye karibu na Dr Mwakyembe ni nani mbona kama ..., au muhambata? Lakini huyo Mhambata jamani hajazitisha miaka au wazee wa Kinyakyusa pia walienda Apollo kumuona kijana wao?

Mwakyembe tunamwoombea sisi sote wapenda mapinduzi maana yeye ni mwenzetu hata kama tunatofautiana dini na vyama lakini malengo yana tukutanisha pamoja, Mungu akuongezee Umri uitumikie nchni yako.
 
Pole sana Dr. upone na urudi nyumbani salama.Mungu anakupenda sana na kupitia kwako anawaonyesha magamba kuwa mwisho wao upo karibu.
 
huu ni ufisadi .mtu anapata allergy to anapelekwa india..khaa..!!halafu anauza nyago kwa kupiga picha na wanakijiji wa india SOB
 
Pichani Dr .wa kweli aliye enda shule sio ya kupewa akiwa amepozi na madaktari waliomtibu wa Hospitali aliyolazwa <BR>[/QUO<IMG border=0 alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/-IAykDZZBTWY/TptRUdy4LAI/AAAAAAAByHY/PDyBQzCJWd8/s1600/DSC_7029.JPG">TE]<BR><BR>Wakuu mimi nasoma India, Jimbol la Tamil Ladu ambako Dk. Mwakyembe anatibiwa. Wanafunzi wengi tulifika kumjulia hali, ndipo tukakuta maandilizi makubwa ya HAFLA WALIYOIITA "APOLLO TOUCHING LIVES AFRICA" ya kuanzisha mahusiano ya kimtandao kati ya Apollo na wagonjwa wake. Uongozi wa mtandao huu wa kimataifa wa hospitali uliomba Ubalozi wa Tanzania, New Delhi ili mgonjwa wao, Dk. Mwakyembe, awe Mgeni wa Heshima. Dk. Mwakyembe akataarifiwa, akavua nguo za hospitali na kwenda kwenye hafla hiyo akiwa amefuatana na Mwambata wa Afya wa Ubalozi wetu wa New Delhi, Dk. Kheri Goloka (aliyesimama nyuma tu ya Dk. Mwakyembe). Kwa sisi wanafunzi wa Tanzania tulijisikia vema sana Waziri wetu alipopewa nafasi, akatema ung'en'g'e wa uhakika uliowasukuma hata Waaafrika wenzetu waliokuwepo; akawapasha Apollo kuwa ufanisi wao hautokani na idadi kubwa ya mabingwa wa tiba, vifaa vya kisasa, madawa makali, bali mkono wa utu. usikivu na kujali katika tiba yao. Akili inachemka, lakini afya yake inadai sana maombi, NIONAVYO MIMI.<BR><BR><BR><BR><BR><BR><BR><BR><BR>\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\

Sir/ Madam.....Grace and peace be multiplied unto you for God has given unto us all things that pertain unto life and godliness, thru the knowledge of him that has called me to glory and virtue/excellence that by this I should be a partaker of divine nature 2Pet: 2-4; so I have through this already changed his situation!

I have decreed and declared that He is going to live to declare the wonderfull works of our Lord Jesus! Kwahili sinahofu ninauhakika kabisa Mungu hajawahi ni danganya tangu udogo wangu mpaka sasa ni mtu mzima....na situation kama hizo mimi nilishazipitia ndiyo maana na ujasiri wa kutamka haya kwani shujaa hawi shujaa bila kupitia challenges za aina mablimbali katika battle field....
 
Usihofu kabisa hatakufa bali ataishi kuyatangaza matendo makuu ya Mungu....Niliona tangu tar 15/10/2011 hali yake ikianza kutengamaa.

Dr. Ukirudi home katoe sadaka yako ya shukrani kwenye madhabahu ya Mungu unako abudu....Kisha samehe wote waliokutenda uovu unaowafahamu na usio wafahamu. Then uone Mungu mwenye haki atakavyo hukumu kwa haki ili sifa na utukufu urudi kwake. Kamwe usijiingize kwenye revenge maana vengance is of God!

Mungu amekufanya wewe kuwa ishara kwao wote walio na roho za ibilisi nao utawaona kwa macho yako jinsi watakavyo kuwa exposed na kuaibika!

Uhimidiwe Mungu wangu utukuzwe maana wokovu una Yesu milele amina!

Amina! Jesus is God! wasioelewa hili wanyamaze through the might Name of Jesus Christ.
Maana naogopa wasioelewa wanaweza nunua kesi isiyo yao! Mstaarabu huwa akiona jambo asilolijua huuliza kwa nia njema aeleweshwe, akishindwa hunyamaza a
sionekane kituko.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Jamani mwenye taarifa aweke wazi kuhusu afya ya huyu Mwanasheria wetu, na iwapo kweli kapona au hiyo ni pix tu! Ilikuwa vipi wakapiga picha na mgonjwa mbona wengine hawapi nao? na je huyo Mzee wa Kiafrika aliye karibu na Dr Mwakyembe ni nani mbona kama ..., au muhambata? Lakini huyo Mhambata jamani hajazitisha miaka au wazee wa Kinyakyusa pia walienda Apollo kumuona kijana wao?

Mwakyembe tunamwoombea sisi sote wapenda mapinduzi maana yeye ni mwenzetu hata kama tunatofautiana dini na vyama lakini malengo yana tukutanisha pamoja, Mungu akuongezee Umri uitumikie nchni yako.

Una busara inaonekana shule unaijua! Hongera
 
He is just on respite but he can't escape fatal effects of Pollonium. The peculiar feature of radioactive material is their ability to destroy body cells slowly before causing body death. God has acted so deferently to award him hiatus to allow him confess his evils and thereby absolved to have a room in God's kingdom.
Mmmmmmh Mwita25 hii lugha hapa umeipatia vizuri!!kwa kweli kama ni shuz hapo limepata mjambaji....
 
huu ni ufisadi .mtu anapata allergy to anapelekwa india..khaa..!!halafu anauza nyago kwa kupiga picha na wanakijiji wa india SOB

Wachafuzi wa hali ya hewa kwenye kila thread huwa hawakosekanagi, hapo kuna tatizo gani kwa mgonjwa wa hali aliyokuwa nayo Mwakyembe kukimbizwa nje ya nchi ili kunusuru maisha yake???? Nyinyi ndo wale mnaokataa kuchangia kumuuguza mgonjwa then akishafariki mnatoa rambirambi kuuuuubwa tena kwa mbwembwe ili kupata misifa kwa waliohudhuria msibani. ACHA ROHO MBAYA, USIPOBADILIKA UZEENI UTAKUWA GAGULA WEWE. Fedha zinatafutwa, maisha hayatafutwi. Ungekuwa unataka kupinga ufisadi ungepinga Malipo ya Dowans, Ufisadi wa Meremeta, Deep Green, Tangold, Kagoda n.k. Kwa kazi aliyotufanyia Richmond, anadeserve kuhudumiwa sio tu India, Hata USA.
 
Mbona madaktari wengi sana, ukifuatilia vizuri wako kama 30 hivi...Wamegundua tatizo ni nini. Pengine wanatuona watu wa ajabu pia. Upone naibu waziri na (MB) wetu.
Nini kinakutatiza hapo???Sio kila anayefanya kazi hospitali ni Daktari.
 
Back
Top Bottom