MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Inawezekana ni kweli...kwa maelezo yake...halafu sidhani kama huku kwetu tuna maprofessional killers kama tunaowaona kwenye muvi...wengi ni vibaka wakawaida wenye njaa....hata hao wasomali huwa wanchukuliwa tu kwasababu ya hali yao kwao...sila, vita, ugaidi etc etc..i.e. wana experience ya kuua....
Hivi wale watu waliomwua Profesa wa sheria pale Dar ni akina nani.? Je angeshtukia mpango ulivyokuwa umesukwa akatoa kwenye gazeti watu wangemtukana kama walivyomtukana Mwakyembe. kuna kila sababu ya Mwakyembe kushtuka na hawezi kutengeneza tamthiliya ya namana hiyo na kutoa namba za kweli za magari