likitumika kama toilet haliwezi kuumiza? (utani) .kuhusu mwakyembe mimi simuungi mkono achague moja kuwa moto au baridi pia kama kweli ni mpigania haki kwanini aongope kwani kina dr silaa sio watu yeye achague kama anaogopa kufa amwombe radhi rostam.
Hili si suala la kuungwa mkono, ni suala la maisha yake. Hivi ukiletewa taarifa kuwa jirani yako anatafuta sumu ya mamba kukuwekea kwenye kisima chako, unanyamaza kimya ili uonekana baridi au motomoto? Ama kweli mkuki kwa nguruwe! Kawaida, ni mtu kwenda Polisi ili wachunguze! Mbezeni Mwakyembe mnavyotaka, Kamati aliyoiongoza itabaki katika historia ya nchi hii kuwa chachu ya mabadiliko ya kisiasa nchini. Maadui anao lukuki, tunawajua, ndiyo maana wengine tunamwombea!