Inawezekana ni kweli...kwa maelezo yake...halafu sidhani kama huku kwetu tuna maprofessional...
why u people keep trusting mwanahalisi? what proof do u have that yenyewe haichakachui? how do u know this is genuine report and the one is not??
Kuna wangapi humu wanamkumbuka Katibu mkuu wa CCM Mh. Marehemu Harace Kolimba? Kuna yeyote anayekumbuka kifo chake kilivyokuwa na utata na jinsi muhimbili walivyojichanganya na autopsy yake?? Ni sumu inayosadikika kupewa ilikuwa wapi kama si Dodoma??? Hivi kuhusu uchawi, hata ukiwa msomi unakuzuia kuelewa kama uchawi upo ama haupo?? Katika Biblia Uchawi umetajwa( Mnamkumbuka Simon Mchawi ktk kitabu cha Matendo ya mitume?).. Bila shaka hata kwenye kitabu cha kiislam pia umetajwa. Hao wanaosema asiamini uchawi na kama watu wameenda kwa mganga asiseme??? Mfano asiposema na akauliwa kweli nani atakuwa mzembe?? Kila rakheli.
Kashaga,
Dr. Mwakyembe has proved to outrank Manumba's professionalism plus his platoon.
Info za kiupelelezi zimekusanywa vizuri mno tungekuwa na waandaaji wazuri wa sinema yaani hili ni bonge la movie.
Nyie mnabaki na vijiba vya roho.
.Dr Mwakyembe has the reasons to fear.
Hawa jamaa ni proffesional killers kweli na ndio maana wanaonekana wanasuka mpango ili kuweza kutengeneza kifo cha Mwakyembe na kama hiyo haitoshi wanawatumia na wachawi ili waweze kuwafanya watanzania wasiandamane au kulalamika au kuhoji kifo hicho tarajiwa.
Jiulize hao wasomali ni kina nani mpaka watumie magali ya serikali je na lile gari la Caspian linahusika vipi? tusimlaumu na ndio maana kapeleka malalamiko yake kwa Mwema ili yeye aendelee kufanya kazi bila uoga na ikumbukwe kuna orodha ndefu ya those who are suppose to be dead ambao Mwakyembe kawataarifu.
Dr Mwakyembe has the reasons to fear.
Hawa jamaa ni proffesional killers kweli na ndio maana wanaonekana wanasuka mpango ili kuweza kutengeneza kifo cha Mwakyembe na kama hiyo haitoshi wanawatumia na wachawi ili waweze kuwafanya watanzania wasiandamane au kulalamika au kuhoji kifo hicho tarajiwa.
Jiulize hao wasomali ni kina nani mpaka watumie magali ya serikali je na lile gari la Caspian linahusika vipi? tusimlaumu na ndio maana kapeleka malalamiko yake kwa Mwema ili yeye aendelee kufanya kazi bila uoga na ikumbukwe kuna orodha ndefu ya those who are suppose to be dead ambao Mwakyembe kawataarifu.