Micro E coli
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 938
- 192
Bora uchaguzi urudiwe tena igunga tule wali tena kama tulivyokula kipindi kile chaufunguzi wa kampeni za ccm chini ya ben mkapa,mwenye ile picha ya masahani ya wali aweke hapa tujikumbushie
hahahahaaa.....wapi Ritz
Yah yah yah i said b4 my people.......kafumu akishinda hii kesi nakata gogo barabarani.....
Siku ya kusikiliza si ya kutoa uamuzi. hawezi kuvuliwa siku ya kusikilizwa kesi.
maan wala hata sikuanza hata kutafuta toilet papaer...na wala hauhitaji kuwa shehe yahaya kujua kama kafumu lazima ale za mbavu......Arifu umepona kuonyesha ushujaa wako !
Hongereni CHADEMA.Lakini najua kafumu atakata rufaa.Maamuzi ya rufaa yatafanywa kufikia Septemba mwakani.Kashindye ataingia 2014 bungeni nadhani baada ya uchaguzi mwingine.Hii itakuwa ni challenge kubwa kwa CDM kuweza ku deliver ndani ya muda huo mfupi kufikia 2015.
kuna watu ni wabunge tangu mimi sijazaliwa, mpaka sasa wao tuuuuuuuuuuuuuuuuuu. kwani hakuna wengine? Jimbo nililotoka mimi karibu kila uchaguzi anatoka mbunge mwingine ingawa ni wa chama hicho hichoCCM na CHADEMA jifunzeni jambo moja muhimu: Msiwaachie baadhi ya watu wenu kumiliki MAJIMBO. Wakiondoka, wakiondolewa, wakifa,..., mnapata tabu sana kubaki na majimbo haya. KInachotokea hapa Igunga ni athari za moja kwa moja za kumwachia Rostam Aziz akawa mmiliki wa Jimbo hili. Msisubiri KATIBA ya NCHI iwawekee ukomo wa wagombea wenu kwenye majimbo haya. Katiba za vyama vyenu zinaweza kulimudu hili.
Nape yuko wapi wajameni???
Mimi ninachojua bado mahakama hazipo huru, kuna uwezekano kabisa hapa kafumu hajatendewa haki ila ikulu wameagiza apigwe chini ili kupunguza kelele za wapinzani