Wawawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..........h
Ninafurahaaaaaaaaaaa
Pipoziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mtafute PakaJimmy kuna mzigo wako nimempa...........ujazilize hiyo furaha yako.
Pipoziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii................yaani kama namuona Mwigulu na yale mashavu yake mabaya alivyotahayari lol!..........Magufuli nae ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii........Nape aibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Jaj katenda haki, safi sana CDM
aiseee....unasema?
wewe ulisha wahi pinga kura? au unatia aibu hapa jamviniWabongo bana ona walivyojaa hapa, na kwenye kupiga kura mngekuwa mna juhudi hizi ingekuwa powa sana.
There are currently 1886 users browsing this thread. (436 members and 1450 guests)
hoja nyingine ni mgao wa mahindi wkt wa kampeni..madai yaliyokua yakitolewa kwamba kulikua na njaa sana igunga hd zoezi hilo kufanyika hayakua ya msingi, swali lilikua kwamba kama kulikua na njaa kiasi hicho kwa nini uchaguzi haukurishwa?
Ninamshauri hivyo ikiwa anahisi kaonewa, katiba inamruhusu.Unamshauri aliye fumuliwa?