Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,897
- 941
MBUNGE NGASSA: "MAAFISA USAFIRISHAJI POKEENI SALAM KUTOKA KWA RAIS DKT. SAMIA"
"... Mheshimiwa Rais Alifanya ziara ya Kikazi Jimbo la Igunga, Leo (Sikukuu ya Krismasi) Nimeona Tukutane Nitoe Shukrani za dhati kwa ushiriki wenu mkubwa kwenye mapokezi na kumlaki Kiongozi Wetu Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mheshimiwa Rais Anawashukuru sana. Igunga Tulivunja Rekodi ya mapokezi.."
"... Kila mmoja (Bodaboda na Bajaji) Tunampatia mafuta kama Shukrani ya kujitoa kwake na iwe chachu ya ushirikiano Wetu na Chama chetu (CCM) na Serikali Yetu... "
"... Mwisho, Ninawatakia Wana Igunga na Watanzania wote Heri ya Sikukuu ya Krismasi. Tusherekee kwa Amani na Kuliombea Taifa Letu Liendelee kustawi katika Amani, Umoja na Mshikamano... "
NICHOLAUS GEORGE NGASSA
MBUNGE WA JIMBO LA IGUNGA
#KAZI NA MAENDELEO
#KAZI IENDELE
#MAMASAMIAKAZINI
#MITANO5TENA