KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
Kafumu kufumuliwa!
AKSANTE BABA, WEWE MWANAMAGEUZI WA UKWELI, EBU WAENDELE KUTUJUZA TUKO LIVE KWA HILI LABDA MPAKA BAADA YA HUKUMu
Kafumu kufumuliwa!
Mwenyewe nilidhani kabwana kadogo!kumbe mh!Heshima mbele Deus Mallya!Mkuu Deus F Mallya, niwie radhi kamanda wangu, mi nilikuwa najua ni kajamaa tu kumbe daah ni great thinker wa chama kubwa........pamoja sana mtu wangu wa nguvu.
Kafumu kufumuliwa!
Kama mahakama ni chombo huru kama inavyodaiwa,basi ni dhahiri shahiri CDM wataibuka washindi!!!!!
Ushindi kwa CDM hali 'jaji' anayeiendesha pengine yuko kwenye 'list' ya TL!
NIMEIPENDA HIi
Swali la msingi kujua:Tupatiwe jina la jaji na Je! huyo Jaji kafanyiwa vetting? anyway yumo kwenye list ya TL?
Mkuu Deus F Mallya, niwie radhi kamanda wangu, mi nilikuwa najua ni kajamaa tu kumbe daah ni great thinker wa chama kubwa........pamoja sana mtu wangu wa nguvu.