naamini CHADEMA WATASHINDA LAKINI MAHAKIMU HAWA WANAOTEULIWA NA YULE YULE TUNAESHITAKIANA YAANI JK HAKI BADO INATILIWA SHAKA KUTENDEKA
Wakati tunaendelea kusubiri updates za hukumu,
tadhafari tunaomba kujulishwa juu ya yafuatayo kwa mwenye taarifa:
1/Mwenendo wa kesi ulikuwaje(Hoja,mjadala,mashahidi,vitimbi)
4/Matumaini na hamasa kutoka kila upande zikoje
nishaanza kushangi. . . . .
Oya oya oya! . . . . .oya oya oya!
Hana pa kutokea, anafumuliwa, nafasi yake wizarani kwisha jazwa, ndo maana uwaziri aliusikia kwenye vyombo vya habari i.e tbcccm,
oya oya oya! . . . . . .
Mbona kimyaa wakuuu?
chadema wanaweza kushinda hii kesi, lakini kwasababu hakimu yupo kwenye list ya tundu lissu mambo yanaweza kugeuka!
Siku ya kusikiliza si ya kutoa uamuzi. hawezi kuvuliwa siku ya kusikilizwa kesi.
Mbona kimyaa wakuuu?
HUKUMU ya IGUNGA Leo..Kashinje Vs Kafumu, ....Kwakweli mpaka sasa hivi Mbunge wa CCM ameshindwa kumleta shahidi ambaye angetoa taswira njema kwa Ushindi wa Kafumu. Kwani Bwana Magufuli, ambaye yeye ametajwa kwenye Kesi mara kadhaa; kwamba alikuwa akitoa Ahadi ambazo alikuwa akitoa mbele ya Jukwaa..kwa hali hiyo Mgombea Wa Chadema anasema alikuwa anatoa Kama Nani? Waziri au mpiga Debe wa CCM? Kwakweli Kesi imekaa patamu sana...kama Haki ikitendeka ...Basi Jimbo tutalajie kuwa Wazi katika Hukumu ya Leo..!!! UPDATES Magari ya polisi, gari la maji washa, naona ndo yanawasili hapa mahakamani, ila bado hatujaingia ndani ya ukumbi wa mahakama, pia watu bado si wengi sana.[wenye taarifa zaid?
1) upo uzi humu unaosimulia kafumu alivyobanwa
4) ni matumaini ya wengi including kafumu himself kuwa anafumuliwaaaaa.
Kashindye kidedea, matumaini yako juu sana.
Ukiona gari la washawasha lmepak hapo jua ccm kidedea c wanawatumia hawa jamaa kulazmisha mambo