Hujui shughuli anayofanya? 2010 aliwithdraw jina lake kupigiwa kura akasema kura zake apewe JK. Hujajua bado shughuli aifanyayo?
ALIANZA WA CCK sasa DOVUTWA; Kwanini wasiitishe mikutano na Wananchi kwanza ? Waone na Wajue Matakwa ya Wananchi? Kuliko kurukia MPINZANI aliyejuu zaidi yao?
AU NDIO PAYBACK VYAMA VYAO HAVITAFUTWA na MZEE ? TOENI HOJA, TUELEZE SABABU yenu kuwa VYAMA!!!
Naikumbuka kauli ya Dovutwa 2010 "kama hamnipi kura mie basi mpeni Kikwete" huyo ndio mgombea wa upinzani.
hawavumi lakini wamoHuyu nae yupo!