Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui shughuli anayofanya? 2010 aliwithdraw jina lake kupigiwa kura akasema kura zake apewe JK. Hujajua bado shughuli aifanyayo?
ALIANZA WA CCK sasa DOVUTWA; Kwanini wasiitishe mikutano na Wananchi kwanza ? Waone na Wajue Matakwa ya Wananchi? Kuliko kurukia MPINZANI aliyejuu zaidi yao?
AU NDIO PAYBACK VYAMA VYAO HAVITAFUTWA na MZEE ? TOENI HOJA, TUELEZE SABABU yenu kuwa VYAMA!!!
Naikumbuka kauli ya Dovutwa 2010 "kama hamnipi kura mie basi mpeni Kikwete" huyo ndio mgombea wa upinzani.
hawavumi lakini wamoHuyu nae yupo!