Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Hivi yulle kiongozi wa chama cha upinzani aliyesema kura zake za urais uchaguzi 2010 apewe Kikwete ,alikuwa nani vile nimesahau .naomba umnikumbushe
Kumbe na wewe unamkumbuka mkuu, nilidhani umma umemsahau huyu mfia tumbo. Labda baada ya kuona Nape kamsahau kwenye payroll ya Lumumbalizing ndio anajifanya kukumbuka kuwa kuna upinzani Tanzania.
Yuko na mwenzake anaitwa Hashim Rungwe yeye ni mwenyekiti wa chama gani sijui (kati ya hivi vyama vya njaa) na yeye alijitahidi sana kuingia kwenye Payroll ya magamba sasa sijui walitolewa nje ndio wanatapatapa.
Kama wanaume kweli wajitokeze JF tuna maswali ya kuwauliza