Jadili hoja sio mimi. Nakushauri usome tena maneno ya Slaa, Sitta nafasi aliyo iomba hawakukataa.Ni Sitta mwenyewe ndio alibadili mawazo. Leo hii mnasema hafai wakati viongozi wenu walikua tayari kumpa cheo kikubwa CDM. Na kama Sitta kutaka kuhama CCM amekua mnafiki je hao walio hama watakua ni nini?Mheshimiwa una tatizo la ufahamu tafuta Daktari, Umechemsha wewe kwa kupiga ramli badala ya kutuia hoja, si amini kuwa ni matokeo ya elimu ya kata, ila nashawishika uelewa wako una kasumba ya kupewa labda toka Lumumba. Anza kujikomboa kifikra ili hata unalosemaliwe na tija.
Katoka au kubaka CCM siyo suala, suala ni maamuzi ya busara kuachama na longo longo za mafsadi wanaomliki CCM. Sitta alibadili mawazo baada za kuona hana sifa ya kupata hata ukatibu kata wa CDM kwa unafiki wake.