3D.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2010
- 1,018
- 282
Nashanga unaposema nijuavyo na kumbe hujui marijuana wacha kuwa prescribed mpaka chemists wanazo North America na ukienda na cheti unapewa.
Naogopa kuweka mjadala kwa vigezo vya habari za kusikia. Kwa sababu nimeeleza namna ambavyo marijuana haiwezi kuwa miongoni mwa medical prescriptions. Sasa labda ungeniambia ina chemical gani ambayo ndiyo inayohitajika medically na inakuwa prescribed katika form gani (unga, majani kuvuta etc). Napotumia neno nafahamu ni uungwana wa taaluma kuwa unaweza kuusema sayari ziko tisa kumbe ni zaidi ya kumi. Kikubwa ni hoja za kisayansi katika mambo ya sayansi.