babu zet walitumia kama dawa...
mmmhh yakuondoa maumivuDawa ya nini?
mmmhh yakuondoa maumivu
mmmhh yakuondoa maumivu
nazani tuliposomeshwa classification tuliambiwa bangi inaingia kwenye
kingdom - plant
species - salad
au sjui yule ticha alikuwa anaifagilia tu, sababu nakumbuka sote tulifeli baioloji.
Du!! sina neno hapo japo sayansi yangu naona inashangaa kama bangi ni aidha sedative au anaesthetic. Nachojua yenyewe ni hallucinogen.
maumivu???????? :car: :car:
yaani unataka kusema huja wahi sikia
kwamba hata madactor wana prescribe
kwa wagonjwa wao.... marijuana/ cannabis
l
Pamoja na ugonjwa huu wa kushindwa kulala mpaka nimeona mgongo wa AD? Napita tu besti nimetoka kunywa bia 11 si unajuwa kesho sikukuu ? usiku mwema niote sawa.na magonjwa mbali mbali...
Nashanga unaposema nijuavyo na kumbe hujui marijuana wacha kuwa prescribed mpaka chemists wanazo North America na ukienda na cheti unapewa.Navyojua hakuna prescription ya marijuana kwa medical condition haipo kwa kuwa marijuana haina sifa ya kupunguza/kuondoa maumivu (anaesthesia), pia siyo sedative (kitulizo cha hisia) cha kukubalika kwa kuwa yenyewe huleta kuweweseka (hallucination) na effect yake kwa mtumiaji huathiriwa na tabia ya mtu husika. Ndiyo maana kuna watu wakivuta bangi hupooza/hawawi active wakati wengine wakivuta ndiyo hupata mzuka wa kupiga watu. In summary, medically, bangi si depressant wala stimulant.
Pamoja na ugonjwa huu wa kushindwa kulala mpaka nimeona mgongo wa AD? Napita tu besti nimetoka kunywa bia 11 si unajuwa kesho sikukuu ? usiku mwema niote sawa.