3D.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2010
- 1,018
- 282
mmmhh hakuna kitu nakionea huruma dunia hii kama pombe..
mmhhh pombe inatufurahisha halafu baadaye tunaisingizia mabaya yote...
Ila mi naona naweza kufurahi japo sinywi pombe, nashangaa ninyi mnajisikia vipi mkiwa mmelewa, maana wengi nawaona mnasinzia tu kwenye viti!!