Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Naona umuhimu wa wapinzani kuwapo bungeni, Magufuli umetuletea balaa kwa kupitisha pitisha wabunge wa ccm kwa mabavu
Wapinzani ni muhimu sana, kama wapo. Kama unataka tumehuru ituletee wapinzani kwa ajilu ya wapinzani tu, sema.

Tanzania bunge hatuna wapinzani kwa sababu hawakushinda majimboni, basically kwa vile hawakuwa na Ilani ya kukubalika.

Na huyo mgombea wao wa Urais naye hakushinda, basically shauri ya lugha yake ya matusi.

Tusubili 2025 ila kwa sasa ombeni wabunge 19 mpewe kwa hisani ya maridhiano, la sivyo sioni mtapitia, wapi kupata Wabunge.
 
Ukijuwa wewe inatosha.

Makubaliano yashapitishwa na Bunge.

Nasherehekea.

Samahani sana FaizaFoxy unaongelea bunge lipi?? Hili hili la Magufuli? Mbona sijakusikia ukimsifia jiwe kwa kumrithisha msaidizi wake mkuu hilo bunge?

Wakati unasherehekea mpe sifa pia muasisi wa hilo bunge, John Pombe Magufuli. Ni bunge hilo
lililoridhia bandari zetu apewe mwarabu wa Dubai.

.
 
Ni hivi Nchi Zooote zilizojaliwa Rasilimali isipokuwa Urusi zina raia wanaopenda Raha na kutojishughulisha.

Hili linanifanya niunge mkono Azimio la Bunge. Mh. Rais amejifunza mengi. Ametufahamu. Sasa tutaenda, jamaa pale Bandari walikuwa Pasua Kichwa. Most Welcom DP WORLD
 
Hii post itakuwa kwa ufupi sana. Maake nyingine huwa zinaondolewa ndani ya dk10 tu toka nipost. Hilo limenipa faraja sana kuwa kumbe nina mawazo mafupi lkn ya kitofauti. Mods hili liachen kidogo...
Shida yetu ni uninafsi,kupenda kitonga na sera za Siri za watawaliwa wandunia na watawala wa dunia,unajikiaje Ukraine wanavyopambania ardhi ya,hapo ni Islael na Sub Arabs league.
 
Shida yetu ni uninafsi,kupenda kitonga na sera za Siri za watawaliwa wandunia na watawala wa dunia,unajikiaje Ukraine wanavyopambania ardhi ya,hapo ni Islael na Sub Arabs league.
Hapa naona mmekutana.
 
Waarabu wametumia natural resources zao chache sana,Petrol na Gas kufika hapo walipo,je tunafanana nao kwenye lipi?

Heading yako na content ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Hivi Bunge letu lina jipya na cha maana kweli ukiondoa compliance ya Katiba? Nina maanisha does it meet objectives of its establishment or it merely the matter of Katiba compliance?
Bunge letu ni "kitengo/idara" ndani ya CCM. Hiyo ni legacy ya Mwendazake. Alikusudia na alitaka kulitumia kama mlivyoona.

Hilo Bunge la Magufuli Ni mzigo mzito na hasara kubwa kwa nchi yetu.

Yatosha, tunataka Katiba Mpya!
 
Ipo haja ya Taifa kuwa sala za kuiombea Taifa, baada ya mgawanyiko wa kidini , utanganyika na uzanzibar . Pia ipo haja ya viongozi kuombewa wasiwe na fikra kwamba wanayaweza yote bila Mwenyezi Mungu. Viongozi wa siasa jisalimisheni kwa viongozi wa Dini
 
Walifikiria wakajiuliza huu mswada wa sheria ya kuifumua idara ya Usalama wa Taifa, uliobeba mambo ya ovyo mathalani la KUWAPA Kinga vijana wetu wa Usalama wa Taifa dhidi jinai zao wazitendazo wakiwa kazini.

Walijiuliza Ili mswada upite Nini wafanye,waliamua kuja na Ili la Bandari na kweli walifanikiwa walipitisha sheria Ile kiwepesi sanaaaa maana raia wote tuliamia huko Bandarini jamaa wakatupiga katerelo chubwi lisheria likapita kiwepesi Sanaa

Mbalikiwe sana wote mliotupiga katerelo ingawa mlio faidi ni nyinyi.
 
Back
Top Bottom