Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,611
- 86,302
Nimesoma mahali kuwa muda wake umeisha. Very soon akili zitamrudiaHuyu Mzee hajastaafishwa tuu ? Kama NI muadilifu kweli aombe kung'atuka Kwa maslahi ya UMMA na kulinda heshima yake
Nimesoma mahali kuwa muda wake umeisha. Very soon akili zitamrudiaHuyu Mzee hajastaafishwa tuu ? Kama NI muadilifu kweli aombe kung'atuka Kwa maslahi ya UMMA na kulinda heshima yake
Siyo hawa wakina Erythrocyte wanaleta video fake ati wapinzani! Wakati wa JPM barakoa wapi na wapi! Ndipo ujue kuwa Slaa yupo sahihi"Ili chama cha siasa kipendwe na wananchi, hakina budi kuwa na agenda zinazogusa umma"
Dk Slaa afunguka
Na kula mihogo pia, maana kama amejiwekea akiba inamilikiwa na Mushumbusi!Huyu naye ni spent force, hana lolote kichwani. AAkifanya mchezo anarudi Bongo kulim bamia maana huku hakuna supermarket atafanya kazi kama Canada! Ignore this nonsense man
Unapojiuliza Hilo pia jiulize kwa Nini CCM wanaiogopa katiba mpya Kama ukoma.Si chadema ndivyo wanavyo waambia wafuasi wao kuwa katiba mpya ikija kila mwana chadema atapata furushi la pesa
Mjinga huyu mzeeHuyu naye ni spent force, hana lolote kichwani. AAkifanya mchezo anarudi Bongo kulim bamia maana huku hakuna supermarket atafanya kazi kama Canada! Ignore this nonsense man
Binti wa kihaya anakula matundaNa kula mihogo pia, maana kama amejiwekea akiba inamilikiwa na Mushumbusi!
Jamani! Mlisamehe zee langu!Zee lako ni pumbavu kama wapumbavu wowote!
Upadre ni Agano la Binadamu na Mungu binadamu ukilivunja UTAISHI MAISHA YA KUTANGATANGA mpaka Unakufa"Ili chama cha siasa kipendwe na wananchi, hakina budi kuwa na agenda zinazogusa umma"
Dk Slaa afunguka
Now that wameshamtoa ubalozini… yuko chama gani?Hakuna anayetegemea "muujiza" na katiba mpya. Kinachotakiwa ni katiba inayozuia mtu kuwa mungu juu ya watu waliomweka kwenye madaraka na kuwageuza kuwa mateka wake.
Katiba hiyo ikiwepo, huyo mtu akiisigina hatua zitachukuliwa juu yake, ziwe za kisheria au vinginevyo, kwa sababu yeye atakuwa ni mhalifu.
Huyo Dr Mihogo hana 'credibility' yoyote aliyobaki nayo kuwaambia waTanzania nini cha kufanya. Yeye ni mfano sahihi ya watu ambao hawana soni mbele za watu waliomwamini, na ni mfano mzuri wa viongozi wanaotakiwa kufungwa gavana na katiba iliyo bora.
Ila ninakubaliana na hayo yaliyoandikwa kwenye huo mstari mmoja hapo juu.
"Ili chama cha siasa kipendwe na wananchi, hakina budi kuwa na agenda zinazogusa umma".
Sasa awaeleze waTanzania kama CCM hii inazo agenda hizo!
Ingekuwa hivyo wasingeng'ang'ania katiba wanayoitumia kuwanyanyasa wananchi.
Kwahiyo wewe una heshimu kila mtuWe ni nani? unaemkejeli DK Slaa?? lazima tumpe heshima yake huyu mzee!! haijalishi alifanya nn? Yeye ni mwanadamu, Kama aliteleza.basi asamehewe!! sio kuwa lugha za kijinga Kama zako!
TUWEKANE SAWAWazee aina ya Slaa ni zaidi ya laana maana sio mfano bora kwa jamii.
1. Alikikana kiapo cha kanisa kwa ajili ya tamaa za mwili tuu.
2. Aliwakana mke na watoto wake kwa sababu ya mwanamke mwingine kimada.
3. Alikikana chama na vile alivyopigania kwa kushawishiwa kwa vipande vya fedha na ahadi ya nafasi kuponya tumbo lake na mchumba wa uzeeni.
4. Alimkebehi mwenzake waliyekuwa naye kikazi na kirafiki (Lissu) alipofanyiwa shambulizi lenye lengo la kumuua likaishia kumlaza kitandani zaidi ya mwaka, operesheni 25 na ulemavu juu.
Jee mzee wa aina hiyo anafaa kuwa mfano mwema katika jamii?
Kuna watu wanafanya reference kuwa alipokuwa Chadema alifanya hiki na kile so what? Sii alikuwa analipwa mshahara na marupurupu kibao?
Na alipwaye mshahara anapaswa kufanya nini kama sio kazi at his best performance?
Atuache tuna mengi ya muhimu sana
Kama mtu hajakuelewa hapa, aelezwe kwa kilugha chake.Hakuna anayetegemea "muujiza" na katiba mpya. Kinachotakiwa ni katiba inayozuia mtu kuwa mungu juu ya watu waliomweka kwenye madaraka na kuwageuza kuwa mateka wake.
Katiba hiyo ikiwepo, huyo mtu akiisigina hatua zitachukuliwa juu yake, ziwe za kisheria au vinginevyo, kwa sababu yeye atakuwa ni mhalifu.
Huyo Dr Mihogo hana 'credibility' yoyote aliyobaki nayo kuwaambia waTanzania nini cha kufanya. Yeye ni mfano sahihi ya watu ambao hawana soni mbele za watu waliomwamini, na ni mfano mzuri wa viongozi wanaotakiwa kufungwa gavana na katiba iliyo bora.
Ila ninakubaliana na hayo yaliyoandikwa kwenye huo mstari mmoja hapo juu.
"Ili chama cha siasa kipendwe na wananchi, hakina budi kuwa na agenda zinazogusa umma".
Sasa awaeleze waTanzania kama CCM hii inazo agenda hizo!
Ingekuwa hivyo wasingeng'ang'ania katiba wanayoitumia kuwanyanyasa wananchi.
Huyu Mzee ni wa kupuuzwa tu anaendeshwa na hilo pashkuna lake analoliita mchumba. Hovyo kabisa"Ili chama cha siasa kipendwe na wananchi, hakina budi kuwa na agenda zinazogusa umma"
Dk Slaa afunguka
Ndio maana hawaitaki katiba mkuuUtumishi wa UMMA Una umri wa kustaafu Kwa lazima , huyu alishavuka huo umri
Kwanini wanawake wanalipwa ujira mdogo kuliko wanaume kwa kazi ileile kama kweli kuna usawa!!!?Ukitaka kunyanyua jinsia, ni suala lisilokuja kwa miujiza, hapa Tanzania mnaona ni jambo la ajabu