Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,102
- 2,717
Sasa ni mambo gani yanaendelea Mwanza? Wanaharakati wataendelea kutafuta ukumbi wa mkutano au wataamua kuondoka Mwanza?
Mimi nadhani wanahitaji kuwa na subira na atatokea mtu atawakaribisha mahali ambapo wanaweza kufanya mkutano.
Siyo mkutano wa siku moja tu. Wanahitaji ukumbi wa kufanya mikutano kwa siku kadhaa,yapo mambo mengi ya kujadili.
Yule Costa Mahalu kawafukuza sio? Yile Costa Mahalu alikuwa Heaf Prefect Mkwawa High School.
Mi nafatilia news very imperfectly. Mi nilidhani Costa Mahalu amekufa.
Mimi nadhani wanahitaji kuwa na subira na atatokea mtu atawakaribisha mahali ambapo wanaweza kufanya mkutano.
Siyo mkutano wa siku moja tu. Wanahitaji ukumbi wa kufanya mikutano kwa siku kadhaa,yapo mambo mengi ya kujadili.
Yule Costa Mahalu kawafukuza sio? Yile Costa Mahalu alikuwa Heaf Prefect Mkwawa High School.
Mi nafatilia news very imperfectly. Mi nilidhani Costa Mahalu amekufa.