johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Mbunge wa Kigamboni, Dr Faustine Ndugulile ni kama amepingana na mbunge wa viti maalumu Neema Rugangira anayetaka biashara za mitandaoni zitozwe kodi.
Dkt. Ndugulile aliyewahi kuwa waziri wa Mitandao amesema kutoza kodi mapema kwenye biashara za mitandaoni kutauwa AJIRA za Vijana wengi na kudumaza mfumo wa Biashara Mtandao.
Dkt. Ndugulile ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter.
Maendeleo hayana vyama!
====
Mbunge wa Kigamboni, Faustine ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter kuhusu masuala ya kodi
Tanzania bado tuko nyuma sana katika biashara mtandao. Tunahitaji kukuza na kuilea e-commerce. Vijana wengi wamejiajiri kupitia mfumo huu. Kuanza kutoza kodi mapema kutadumaza mfumo huu na kuua ajira nyingi. Nguvu ielekezwe katika kuimarisha usalama na imani kwenye biashara hii.
Ni muhimu sana kuwa makini kwenye kodi za kidigitali. Mjadala uwe ni jinsi gani tunaweza kupata kodi toka kwa makampuni makubwa ya nje yanayofanya biashara mitandaoni pasipo kuleta athari kwa mteja wa mwisho ambao hutumia mitandao hii katika ubunifu, kujifunza na biashara.
Pia, soma:
1). Mbunge Neema Lugangira(Viti Maalum) ataka Biashara za Mtandaoni zianze kutozwa Kodi
Dkt. Ndugulile aliyewahi kuwa waziri wa Mitandao amesema kutoza kodi mapema kwenye biashara za mitandaoni kutauwa AJIRA za Vijana wengi na kudumaza mfumo wa Biashara Mtandao.
Dkt. Ndugulile ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter.
Maendeleo hayana vyama!
====
Mbunge wa Kigamboni, Faustine ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter kuhusu masuala ya kodi
Tanzania bado tuko nyuma sana katika biashara mtandao. Tunahitaji kukuza na kuilea e-commerce. Vijana wengi wamejiajiri kupitia mfumo huu. Kuanza kutoza kodi mapema kutadumaza mfumo huu na kuua ajira nyingi. Nguvu ielekezwe katika kuimarisha usalama na imani kwenye biashara hii.
Ni muhimu sana kuwa makini kwenye kodi za kidigitali. Mjadala uwe ni jinsi gani tunaweza kupata kodi toka kwa makampuni makubwa ya nje yanayofanya biashara mitandaoni pasipo kuleta athari kwa mteja wa mwisho ambao hutumia mitandao hii katika ubunifu, kujifunza na biashara.
Pia, soma:
1). Mbunge Neema Lugangira(Viti Maalum) ataka Biashara za Mtandaoni zianze kutozwa Kodi