Dkt. Biteko: Uharibifu wa Mazingira unachangia ukosefu wa umeme

Heparin

Senior Member
Sep 24, 2021
127
420
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema moja ya vyanzo vinavyosababisha tatizo la umeme nchini ni ukosefu wa maji unaochangiwa na uharibifu wa mazingira.

Amebainisha kuwa pamoja na uwepo wa ongezeko la watu, umeme tunaotumia unatokana na maji ambayo hupungua kutokana na uharibifu wa mazingira unaofanywa na watu kwenye vyanzo vya maji hayo, kitendo ambacho hupunguza uzalishwaji wa umeme wa kutosha.
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema moja ya vyanzo vinavyosababisha tatizo la umeme nchini ni ukosefu wa maji unaochangiwa na uharibifu wa mazingira.

Amebainisha kuwa pamoja na uwepo wa ongezeko la watu, umeme tunaotumia unatokana na maji ambayo hupungua kutokana na uharibifu wa mazingira unaofanywa na watu kwenye vyanzo vya maji hayo, kitendo ambacho hupunguza uzalishwaji wa umeme wa kutosha.
Tutafika mbinguni tumechoka sana
 
H
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema moja ya vyanzo vinavyosababisha tatizo la umeme nchini ni ukosefu wa maji unaochangiwa na uharibifu wa mazingira.

Amebainisha kuwa pamoja na uwepo wa ongezeko la watu, umeme tunaotumia unatokana na maji ambayo hupungua kutokana na uharibifu wa mazingira unaofanywa na watu kwenye vyanzo vya maji hayo, kitendo ambacho hupunguza uzalishwaji wa umeme wa kutosha.
uyu mtusi atulie hana anachokijua
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema moja ya vyanzo vinavyosababisha tatizo la umeme nchini ni ukosefu wa maji unaochangiwa na uharibifu wa mazingira.

Amebainisha kuwa pamoja na uwepo wa ongezeko la watu, umeme tunaotumia unatokana na maji ambayo hupungua kutokana na uharibifu wa mazingira unaofanywa na watu kwenye vyanzo vya maji hayo, kitendo ambacho hupunguza uzalishwaji wa umeme wa kutosha.
Kama ufikaji WA SGR DAR Morocco inatuchukua miaka na miaka, hiyo gesi itafikaje Kagera , Mara, Kigoma nk.
Na hapo ni mjini bado haijaenda vijijini, pili wauza gesi wengi hawana mizani, na Hilo utajifanya hujui au watu wa wizara yako hawajui , wizara ya Biashara hawajui nk nk
Kingine hayo majiko bei zake na usalama jinsi ya kutumia.
Tatizo Sera kama hizi zinawelwa ili mufrahisha mwekezaji moja na wabia wake ambao ni Wana siasa
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema moja ya vyanzo vinavyosababisha tatizo la umeme nchini ni ukosefu wa maji unaochangiwa na uharibifu wa mazingira.

Amebainisha kuwa pamoja na uwepo wa ongezeko la watu, umeme tunaotumia unatokana na maji ambayo hupungua kutokana na uharibifu wa mazingira unaofanywa na watu kwenye vyanzo vya maji hayo, kitendo ambacho hupunguza uzalishwaji wa umeme wa kutosha.
Ndio waziri, hii ni moja ya sababu Ila why tumefika huku?,yaani tatizo la mazingira sio la leo wala jana ni la muda mrefu sana,na muda wote huo ni blah blah tu, Tanzania tunahitaji kuingia kwenye technology mpya ya kuzalisha umeme rafiki, umeme wa upepo, solar energy na tanesco ivunjwe na ijengwe upya,jukumu lake liwe ni kusambaza umeme tu na SIO kuuzalisha
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema moja ya vyanzo vinavyosababisha tatizo la umeme nchini ni ukosefu wa maji unaochangiwa na uharibifu wa mazingira.

Amebainisha kuwa pamoja na uwepo wa ongezeko la watu, umeme tunaotumia unatokana na maji ambayo hupungua kutokana na uharibifu wa mazingira unaofanywa na watu kwenye vyanzo vya maji hayo, kitendo ambacho hupunguza uzalishwaji wa umeme wa kutosha.
Haya mafyriko yanayotukumba ni amfurika ya maji au ya tope kama Kartesh?
 
Asilalamike , kama naibu waziri mkuu atoe mkakati wa kulinda mazingira

Bunge lipo kuoitishia sheria kama hizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom